Yanga SC 4-1 KMC FC ilikuwa kazikazi

Yanga SC 4-1 KMC FC ilikuwa kazi nzito kwa wababe wawili uwanjani Novemba 9,2025 kusaka pointi tatu ambapo dakika 45 za mwanzo mzani ulikuwa kwenye usawa. Ni Maxi Nzengeli alifungua ukura wa mabao alipopachika bao la kuongoza dakika ya 36 likawekwa usawa na mshambuliaji wa KMC FC, Daruesh Saliboko dakika ya 42. Kipindi cha pili,…

Read More

AZAM FC YATAJA SABABU YA KUKWAMA KIMATAIFA

YUSUPHU Dabo, Kocha Mkuu wa Azam FC ameweka wazi kuwa wamegotea nafasi ya awali katika Kombe la Shirikisho Afrika kutokana na kushindwa kutumia nafasi. Azam FC imeyaaga mashindano hayo kwa jumla ya penalti 3-4 baada ya matokeo ya jumla kuwa 3-3. Mchezo wa kwanza ugenini ilishuhudia ubao ukisoma Bahir Dar 2-1 Azam FC katika mchezo…

Read More

WALICHOFANYA MASTAA WA SIMBA NA TANZANIA PRISONS

MASTAA wa Tanzania Prisons na Simba walikuwa na kazi ya kusaka pointi tatu muhimu kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara, Oktoba 22 Uwanja wa Sokoine baada ya dakika 90 ubao ukasoma Tanzania Prisons 0-1 Simba. Kila nyota alifanya kazi kubwa kutimiza majukumu yake na hapa tunakuletea baadhi ya walichofanya mastaa wa timu hizo namna hii:-…

Read More

CAF YAMFUTA KAZI MKURUGENZI MKUU WA WAAMUZI KUFUATIA SAKATA LA FAINALI YA WAFCON YA WANAWAKE

Shirikisho la soka barani Afrika (CAF) limemfuta kazi aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa Waamuzi, Désiré Noumandiez Doué, kwa makosa yaliyofanywa katika Kombe la Afrika la Wanawake. Haya yanajiri baada ya Shirikisho la soka la Morocco (FRMF), kuwashutumu Waamuzi akiwemo Mukansanga Salima na Umutesi Alice kwa kuchezesha isivyo Fainali ya Kombe la Afrika kwa Wanawake. Mukansanga Salima…

Read More

JKT TANZANIA KWENYE KAZI NYINGINE TENA

WAJEDA JKT Tanzania wanatarajiwa kuwa na kazi nyingine kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Mtibwa Sugar. JKT Tanzania mchezo wake wa mzunguko wa pili uliopita ilikuwa dhidi ya Yanga na ilishuhudia ubao ukisoma JKT Tanzania 0-0 Yanga. Katika mchezo huo waligawana pointi mojamoja baada ya dakika 90 kukamilika kwa kuwa mchezo wa mzunguko…

Read More

AZAM FC WABANWA MBAVU AZAM COMPLEX

WAUAJI wa Kusini, Namungo wamesepa na pointi moja Azam Complex ubao uliposoma Azam FC 1-1 Namungo FC kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara uliokuwa na ushindani mkubwa mwanzo mwisho katika kuvuja jasho dakika 90. Bao la mapema kwa Namungo lilifungwa na Hamis Halifa dakika ya 12 akiwa nje ya 18 akitumia pasi kutoka kwe Legend,…

Read More

SIMBA YATAMBULISHA NYOTA WAKE WA KWANZA

RASMI Klabu ya Simba imekamilisha usajili wa kiungo, Saleh Karabaka kutoka JKU ya Visiwani Zanzibar kwa mkataba wa miaka mitatu. Karabaka mwenye umri wa miaka 23 anakuwa mchezaji wa kwanza kusajiliwa na Simba SC katika dirisha hili dogo la usajili. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na waajiri wake hao wapya, Karabaka tayari amejiunga na kikosi…

Read More

UCHAWI WA ALLY SALIM NA PENALTI UPO HAPA

MLINDA mlango wa Simba, Ally Salim, amefunguka kuwa siri kubwa ya kuokoa penalti tatu kati ya nne zilizopigwa na Yanga katika mchezo wa Fainali ya Ngao ya Jamii, ni maelekezo aliyopewa na kocha wao wa makipa, Daniel Cadena. Salim jana Jumapili alifanikiwa kuibuka shujaa kwa kuokoa penalti tatu za Yanga zilizopigwa na Pacome Zouzoua, Yao…

Read More

WAZEE WA MPAPASO KUENDELEZA VIPIGO

WAZEE wa mpapaso, Ruvu Shooting wametamba kuwa kwa sasa ni mwendo wa vipigo kwa kila watakayekutana naye. Timu hiyo mchezo wake uliopita ikiwa Uwanja wa Jamhuri Morogoro ilishinda mabao 2-1 dhidi ya KMC. Ofisa Habari wa Ruvu Shooting, Masau Bwire amesema kuwa hakuna atakayeweza kuwazuia kwa sasa kwenye mwendelezo huo baada ya kuwa kwenye mwendo…

Read More

KIPA HUYU WA KAZI KWENYE RADA ZA SIMBA

INAELEZWA kuwa Simba ipo kwenye hesabu za kuinasa saini ya kipa wa kimataifa kuungana na timu hiyo ambayo imeweka kambi Uturuki. Yanga mlinda mlango namba ni raia wa Mali ambaye anaitwa Djigui Diarra hivyo Simba ikipata saini yake anakwenda kuwa namba mbili. Namba moja kwa Simba ni mzawa Manula tofauti na Yanga ambapo namba moja…

Read More

VIDEO:TAMBO ZA MASHABIKI WA SIMBA,WAIOMBA RADHI RUVU SHOOTING

MASHABIKI wa Simba wameweka wazi kwamba ushindi ambao wameupata wa mabao 7-0 dhidi ya Ruvu Shooting wanajua kwamba kuna maombolezo na wote wanaombeleza lakini kwenye mpira Simba wakiwa wanataka kitu lazima kikamilike hivyo wanaomba radhi kwa yaliyotokea. Ushindi wa mabao 7 Uwanja wa Mkapa unaifanya Simba kutinga hatua ya robo fainali inaungana na Yanga,Pamba,Polisi Tanzania,Azam…

Read More

Simba SC ndani ya Zanzibar

KIKOSI cha Simba SC kinachonolewa na Kocha Mkuu,Steve Barker kimewasili Zanzibar leo Aprili 22, 2026 kwa maandalizi ya mwisho mchezo wa robo fainali Muungano Cup. Timu hiyo inatarajiwa kutupa kete yake ya kwanza Aprili 23, 2026 itakuwa dhidi ya Mafunzo SC, saa 2:15 usiku. Ikumbukwe kwamba mabingwa watetezi wa taji hilo ni Yanga SC ambao…

Read More