BEACH SOCCER LIGI KINAWAKA TENA LEO

LIGI ya Beach Soccer inayodhaminiwa na Global Radio na Global TV Online jana April 23 imeendelea katika Viwanja vya Coco Beach kulikuwa na michezo mitatu ya kundi A na leo tena inatarajiwa kuendelea. Mchezo wa kwanza ulikamilika na Savanah Boys iliibuka na ushindi wa mabao 6-4 Ilala FC. Mchezo wa pili Kundi A ulikuwa na…

Read More

UGANDA 0-0 STARS

UBAO wa Uwanja wa Suez Canal huko Ismailia Misri unasoma Uganda 0-0 Tanzania. Ni mchezo wa kuwania kufuzu Afcon 2023 nchini Ivory Coast ambapo timu zotezinasaka pointi tatu. Mchezo ambao upo wazi kwa timu zote kupata matokeo kutokana na nafasi ambazo zinatengenezwa. Uganda wanaonekana kuwa imara hasa kwa kupeleka mashambulizi mara kwa mara mbele ya…

Read More

KIKOSI CHA YANGA DHIDI YA RIVERS UNITED

UWANJA wa Godswill Akpabio nchini Nigeria, wawakilishi wa Tanzania, Yanga kwenye Kombe la Shirikisho Afrika watakuwa na kibarua cha kusaka ushindi mchezo wa robo fainali Kombe la Shirikisho Afrika. Kikosi cha Yanga kitakachoanza kipo namna hii:- Diarra Djigui Djuma Shaban Lomalisa Bakari Mwamnyeto Dickson Job Bacca Bangala Farid Mussa Fiston Mayele Mudhathir Yahya Aziz KI

Read More

JEMBE: SIMBA WAMALIZANE VIZURI NA MANULA

LEGEND kwenye masuala ya uandishi wa habari za michezo Bongo kitaifa na kimataifa, Saleh Ally wengi wanapenda kumuita Jembe ameweka wazi kwamba ni muhimu Simba kumalizana vizuri na mchezaji wao Aishi Manula. Manula hayupo kwenye mpango na Simba kwa msimu wa 2024/25 jambo ambalo lilipelekea asitambulishwe kwenye kikosi siku ya Simba Day, Agosti 3 Uwanja…

Read More

YANGA NA AZAM FC KAMILI KUVAANA KWA MKAPA

TAMBO zimetawala kwa makocha wa Yanga na Azam FC kuelekea kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara unaotarajiwa kuchezwa kesho Septemba 6,2022 Uwanja wa Mkapa. Yanga inayofundishwa na Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi itakuwa nyumbani kwa mara ya kwanza msimu wa 2022/23 baada ya kucheza mechi mbili ikiwa ugenini. Ilikuwa mchezo dhidi ya  Polisi Tanzania,ambapo ubao ulisoma…

Read More

KOCHA STARS: TUMEJIFUNZA MENGI AFCON

JUMA Mgunda, kocha msaidizi wa timu ya taifa ya Tanzania amesema kuwa wamejifunza mengi baada ya kugotea hatua ya makundi katika Kombe la Mataifa Afrika, (AFCON). Katika mechi tatu Stars ilipoteza mchezo mmoja dhidi ya Morocco inayoongoza kundi F ikiambulia Sare mbili dhidi ya Zambia 1-1 Tanzania na Tanzania 0-0 DR Congo mchezo uliochezwa usiku…

Read More

SIMBA:TUNALITAKA KOMBE LA MAPINDUZI

BARBARA Gonzalez, Mtendaji Mkuu wa Simba ameweka wazi kwamba wanahitaji kutwaa Kombe la Mapinduzi hivyo watapambana ili kufikia malengo hayo. Leo Januari 13, Uwanja wa Amaan, saa 2:15 inatarajiwa kuchezwa fainali kati ya Azam FC V Simba na mshindi wa mchezo huo atasepa na Kombe la Mapinudiz kwa mwaka 2022. Barbara amesema kuwa wanatambua ubora…

Read More

SERENGETI GIRLS WAREJEA BONGO NA USHINDI

TIMU ya Taifa ya Wasichana U 17,’Serengeti Girls ‘ usiku wa kuamkia leo wamewasili salama Dar wakitokea Botswana. Serengeti Girls ilikuwa na kibarua cha kusaka ushindi mbele ya Botswana mchezo uliochezwa Machi 20,2022. Baada ya dakika 90 ubao wa Uwanja wa Obeid Itan Chilume wa Botswana ulisoma Botswana 0-4 Tanzania na kufanya Tanzania ishinde kwa…

Read More

KOCHA SIMBA: TUNA KAZI KUBWA KUFANYA KUWA IMARA

FADLU Davids, Kocha Mkuu wa Simba amesema kuwa kuna kazi kubwa ya kufanya ili kuwa imara kwenye mechi za ushindani ambazo watacheza ndani ya uwanja. Fadlu mkononi ana tuzo ya kocha bora Agosti 2024 baada ya kuingoza Simba kwenye mechi mbili za ligi ndani ya dakika 180, wakikomba ushindi kwenye mechi zote huku safu ya…

Read More

BACCA ANATAKA KUFUNGA KILA MECHI

BEKI wa kikosi cha Yanga kinachonolewa na Kocha Mkuu, Miguel Gamondi Ibrahim Bacca amesema kuwa mpango mkubwa ni kuona kwamba anafunga kila mechi. Nyota huyo alifungua akaunti ya mabao kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Ken Gold uliochezwa Uwanja wa Sokoine akitumia pasi ya Aziz Ki ambaye kwenye mchezo huo alipiga faulo nje…

Read More

UWANJA WA LITI WAFUNGIKWA

KAMATI ya Leseni za Klabu ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) imeufungia Uwanja wa Liti, uliopo Singida. Uwanja huo ambao unatumiwa na Singida Fountain Gate kwa mechi za nyumbani kwa ajili ya mechi za Ligi Kuu Bara sasa hautatumika kwa michezo ya ligi kwa kukosa vigezo vya kikanuni na sheria za mpira wa…

Read More

MAJEMBE YATAKAYOCHUKUA NAFASI YA MWAMBA LOMALISA

YANGA inayonolewa na Kocha Mkuu, Miguel Gamond Desemba 8 ina kibarua cha kusaka ushindi mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Medeama ya Ghana. Ni Joyce Lomalisa huenda akakosekana baada ya kupata maumivu kwenye mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Al Ahly. Gamondi ameweka wazi kuwa kuna nyota wawili ambao watabeba mikoba…

Read More

REKODI ZA WANAOWANIA TUZO YA KIUNGO BORA BONGO

SUALA la muda tu leo kwa wachezaji na watu wa mpira kuweza kupokea tuzo kwa msimu wa 2021/22 kupitia kwa Bodi ya Ligi Kuu Tanzania Bara. Ni Julai 7 zinatarajiwa kufanyika kwenye Ukumbi wa Rotana Hotel, hapa Spoti Xtra inakuletea walichokifanya mastaa wanaowania tuzo ya kiungo bora kwa msimu wa 2021/22 ambapo wote wanatoka kikosi…

Read More