Home Sports RATIBA YA LIGI KUU BARA MZUNGUKO WA 7 Sports RATIBA YA LIGI KUU BARA MZUNGUKO WA 7 November 26, 2021 FacebookTwitterPinterestWhatsApp LIGI Kuu Tanzania kwa sasa ni raundi ya 7 ambapo tayari ratiba ipo wazi na ratiba itakuwa namna hii. Katika ligi vinara ni Yanga wakiwa na pointi 16 baada ya kucheza mechi huku Mtibwa Sugar wakiwa bado hawajafanikiwa kushinda ni wanaburuza mkia.