NYOTA IGBOUN AVUNJA MKATABA
NYOTA Sylvester Igboun (31) raia wa Nigeria amekuwa Mwanasoka wa Kiafrika wa kwanza kuondoka kwenye Ligi ya Urusi kufuatia uvamizi uliofanywa na Urusi nchini Ukraine. Igboun ametumia kanuni mpya ya FIFA inayowaruhusu raia wa kigeni wanaocheza mpira wa kulipwa nchini Urusi kusimamisha mikataba yao na kuondoka kwa muda. Tofauti na ilivyotarajiwa, mshambuliaji huyo ameamua kuuvunja…