Home Uncategorized VIDEO:NAMNA YANGA WALIVYOTOA MSAADA OCEAN ROAD

VIDEO:NAMNA YANGA WALIVYOTOA MSAADA OCEAN ROAD

UONGOZI wa Yanga pamoja na wachezaji wa timu hiyo inayonolewa na Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi Machi 17 waliweza kutoa msaada katika Hospital ya Ocean Road ikiwa ni kwa ajili ya kumbukizi ya mwaka mmoja tanfu atangulie mbele za hakai Rais wa Awamu ya 5, John Pombe Magufuli.

Previous articleSIMBA WAKWEA PIPA KUWAFUATA ASEC
Next articleWALIOITWA STARS WAFANYE KWELI,TUNAWAAMINI