MECHI NANE KURUSHWA LIVE AZAM TV

LIGI Kuu Tanzania Bara inaendelea ikiwa ni mzunguko wa pili na leo Mei 25 zinatarajiwa kuchezwa Mechi 8. Huu ni mzunguko wa pili na kila timu imebakiwa na mechi mbili, wadhamini wakuu ni NBC tayari wameshakamilisha mpago wa kutoa taji kwa mabingwa ambao ni Yanga huku Azam TV mwendelezo wao ni kurusha matangazo live. Hapa…

Read More

BET WINNER KUTOA SH 390,000 KWA MTEJA MPYA

KAMPUNI ya michezo ya kubahatisha, Bet Winner kupitia promo code ya CHAMA inakupa nafasi ya kupata bonasi hadi Shilingi 390,000 punde utakapojiunga na kuweka salio kwenye akaunti yako Hii ni kubwa kutokea ambapo kila mteja mpya anapewa shilingi 390,000 muda mfupi baada ya kujiunga.. Bet Winner ambayo kwa sasa inakimbiza kwenye soko la wanaobet mtandaoni,…

Read More

LIVE BUNGENI: WAZIRI MWGULU ANAWASILISHA MAKADIRIO NA MATUMIZI YA BAJETI KUU YA SERIKALI 2024/2025

Serikali imesema bajeti ya mwaka wa fedha 2024/2025 imelenga kutekeleza vipaumbele vitakavyojikita katika kujenga uchumi shindani na viwanda kwa maendeleo ya watu” pamoja na mpango wa maendeleo wa taifa wa mwaka 2024/25. Akiwasilisha bajeti hiyo bungeni Dodoma, Waziri wa Fedha, Dkt. Mwigulu Nchemba ameyataja maeneo ya vipaumbele yaliyoainishwa katika mpango huo kuwa ni pamoja na…

Read More

SIMBA KAZI IPO, KUWAVAA WAARABU WENYE NJAA

BAADA ya kuvuna pointi moja ugenini ukiwa ni mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika hesabu za wawakilishi wa Tanzania ni mchezo wao ujao dhidi ya Wydad Casablanca. Kibarua kigumu kwa Simba kukutana na Waarabu wa Morocco wenye njaa ya kupata ushindi wakati Simba wakiwa kwenye mwendo wa kusuasua katika kupata matokeo. Desemba 3 2023 kikosi…

Read More

KIMATAIFA MALIZIENI MKIA KWA UMAKINI

WIKI ya kutambua mbivu na mbichi kwenye anga la kimataifa hii hapa imefika ambapo kila mmoja atavuna kile ambacho atakipanda ndani ya dakika 90. Yale majigambo ya nje ya uwanja muda wake unakwenda kugota mwisho kwani ipo wazi kuwa hakuna marefu yasiyokuwa nan cha. Muda huu uliobaki kwa wawakilishi wetu kimataifa ni kuchanga karata kwa…

Read More

BADO MANCHESTER UTD INA NAFASI YA KUFUZU 16 BORA

Nahodha wa Manchester United, Bruno Fernandes, alikuwa na kiwango bora sana usiku wa mabingwa Ulaya kwenye mchezo uliomalizika kwa sare ya 3-3 dhidi ya Galatasaray ugenini. Man United walikwenda kwenye mchezo wakiwa na matumaini ya kupata pointi tatu na walianza vizuri wakiongoza 2-0 baada ya dakika 18 tu. Fernandes alitoa pasi ya ufunguzi kwa Rasmus…

Read More

BEKI MPYA ATAMBULISHWA SIMBA LEO

RASMI leo Julai 22 Simba imemtambulisha beki mpya ambaye atakuwa kwenye kikosi chao kwa msimu wa 2022/23 katika mashidano ya kitaifa na kimataifa akichukua mikoba ya Pascal Wawa ambaye aliachwa rasmi na Simba. Simba wenyewe wamemuita beki kisiki wa kuzuia mipira ya juu na chini, beki bora na mwenye uwezo wa kucheza kwenye kikosi chao…

Read More

KITAWAKA MAPINDUZI CUP LEO, SIMBA NA AZAM

MADOA MADOA yote yaliyojificha yatajulikana leo kutokana na balaa ambalo linakwenda kufanywa na nyota hawa ambao wanapewa nafasi ya kukinukisha katika fainali ya Kombe la Mapinduzi. Hapa Spoti Xtra linakuletea nyota wa Simba na Azam FC ambao wanatarajiwa kusaka mbabe atakayesepa na taji hilokatika fainali itakayochezwa kwenye Uwanja wa Amaan, Zanzibar. SIMBA SCAishi ManulaNi kipa…

Read More

NDONDO CUP KUNA SHIDA

UONGOZI wa Chama cha Soka Ubungo (UFA) umeweka wazi kuwa kumekuwa na changamoto ya viwanja katika uendeshaji wa mashindano ya Ndondo Cup ambayo yanaendelea jijini Dar. Shida hiyo ya viwanja inawafanya wachezaji kukwama kutoa ile burudani kwa mashabiki kwa kiwango cha juu kutokana na kuhofia kupata maumivu. Ikiwa ni muendelezo wa 32 Bora ambapo timu…

Read More

UCHAGUZI UMEGOTA MWISHO, MAKUNDI YASIWEPO

Murtaza Mangungu ameshinda uchaguzi nafasi ya Mwenyekiti wa Klabu kwa kupata kura 1,311. Tayari kwa sasa uongozi mpya umepatikana na kampeni muda wake umekwisha. Yale yote ambayo ymaetokea kwenye masuala ya uchaguzi pamoja na kampeni ni muhimu kuyafanyia kazi ili kuwa imara wakati ujao. Kwa walioshinda hongereni na tunatambua kwamba mmetoa ahadi kwa wachama na…

Read More

KOCHA MPYA SIMBA QUEENS ATAJA KILICHOMLETA BONGO

KOCHA mpya wa Simba Queens, Charles Ayiekoh Mbuzi ameweka wazi sababu ya kujiunga na timu hiyo. Kocha huyo ameeleza jinsi viongozi wa Simba walivyoanza mchakato wa yeye kujiunga na Simba Queens hadi akamwaga wino. “Mara baada ya mchezo wa fainali dhidi ya Simba Queens, uongozi wa Simba ulipendezwa na uwezo wangu ambapo meneja Selemani Makanya…

Read More

YANGA KUANZA KUSHUSHA VYUMA VYA KAZI

ALLY Kamwe, Ofisa Habari wa Yanga ameweka wazi kuwa tayai timu hiyo imeshakamilisha zoezi la usajili kwa ajili ya kusuka kikosi hicho. Yanga ni mabingwa wa ligi msimu wa 2022/23 baada ya kugotea nafasi ya kwanza na pointi 78 kibindoni. Timu hiyo ya Yanga imewapoteza wapinzani wao ikiwa ni pamoja na Simba iliyogotea nafasi ya…

Read More

SIMBA QUEENS WATUSUA KIMATAIFA,KAZI INAENDELEA

 WAWAKILISHI wa Kanda ya Cecafa kwenye Mashindano ya Ligi ya Mabingwa Simba Queens, wametinga hatua ya nusu fainali baada ya kuvuna alama tatu mbele ya Green Buffaloes ya Zambia. Ilikuwa ni mechi ya mwisho ya kundi A na ushindi wa mabao 2-0 umewapa uhakika wa kuungana na AS FAR Rabat kwenye hatua ya nusu fainali…

Read More