Home Sports KIKOSI CHA YANGA DHIDI YA DODOMA JIJI Sports KIKOSI CHA YANGA DHIDI YA DODOMA JIJI April 10, 2024 FacebookTwitterPinterestWhatsApp MABINGWA watetezi wa CRDB Federation Cup, Yanga wanatupa kete yao dhidi ya Dodoma Jiji, Uwanja wa Jamhuri, Dodoma. Hiki hapa kikosi cha Yanga kinachotarajiwa kuanza namna hii:- Djigui Diarra Fred Nondo Bacca Maxi Kibabage Sure Boy Mudathir Yahya Mzize Aziz KI Okra Hawa hapa wachezaji wa akiba wa Yanga Mshery, Kibwana, Farid, Aucho, Mkude, Shekhan, Makudubela, Nkane, Guede.