
KIKOSI CHA SIMBA DHIDI YA RED ARROWS
KAZI itakuwa moja kwa Kocha Mkuu, Pablo Franco kuwaongoza vijana wake kusaka ushindi kwenye mchezo wa Kombe la Shirikisho ambao ni wa mtoano dhidi ya Red Arrows. Ni leo Novemba 28, Uwanja wa Mkapa mchezo huo unatarajiwa kuchezwa na mashabiki 35,000 wameruhusiwa kuweza kushuhudia mchezo huo. Pablo anatarajia kuwa kwenye benchi la ufundi na kwa…