KOCHA SIMBA AFUNGUKA “TUNA RATIBA NGUMU”
PABLO Franco, Kocha Mkuu wa Simba, amesema wana ratiba ngumu jambo linalowafanya kutumia nguvu kubwa kusaka ushindi. Jana Jumamosi, Simba ilitarajiwa kuwa na mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Mtibwa Sugar uliochezwa Uwanja wa Manungu mkoani Morogoro. Kabla ya mchezo huo, Simba imetoka kupoteza mbele ya Mbeya City kwa kufungwa bao 1-0….