BOSI SIMBA,YANGA WAITWA KAMATI YA MAADILI TFF

OFISA Mtendaji Mkuu wa Klabu ya Simba, Barbara Gonzalez atafikishwa mbele ya Kamati ya Maadili ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), kutoa ushahidi wa shutuma anazodaiwa kuzitoa wakati akihojiwa na Kituo cha Radio  nchini Afrika Kusini hivi karibuni. Katika taarifa iliyotolewa na TFF imeeleza kuwa, Klabu ya Yanga iliwasilisha malalamiko yao kwa TFF dhidi ya…

Read More

KAZE:TUNAZITAKA POINTI TATU ZA MBEYA KWANZA

 CEDRICK Kaze, Kocha Msaidizi wa Yanga amesema kuwa wapo tayari kwa ajili ya mchezo wao wa ligi dhidi ya Mbeya Kwanza ambao unatarajiwa kuchezwa leo Mei 20, Uwanja wa Mkapa. Yanga ni vinara wa ligi wakiwa na pointi zao 60 baada ya kucheza mechi 24 wanakibarua cha kusaka pointi tatu mbele ya Mbeya Kwanza ambao…

Read More

JEMBE:BWALYA MAJI KUPWA MAJI KUJAA,

MCHAMBUZI wa Soka Saleh Ally ‘Jembe’ katika kipindi cha Krosi Dongo kinachorushwa na 255globaradio na Global TV amesema kiungo mshambuliaji wa Simba raia wa Zambia Rally Bwalya amekuwa kwenye kiwango ambacho hakieleweki kwa kukipa tafsiri ya maji kupwa maji kujaa. Jembe amesema kwamba kuna muda anakuwa katika kiwango kizuri na muda mwingine anakuwa kwenye kiwango…

Read More

LALA SALAMA NDANI YA LIGI INAHITAJI UMAKINI

MWENDO unazidi kusonga kwa sasa kwenye mechi za Ligi Kuu Tanzania Bara ikiwa ni lala salama ya moto na yenye ushidani mkubwa. Wakati wa kupanda kile ambacho ulikuwa unastahili ni sasa na ambaye ataweza kushinda atacheka na yule ambaye atashindwa tabasamu litayeyuka kwake. Huu ni mzunguko ambao unakwenda kuamua nani anakuwa bingwa na nani anakwenda…

Read More

SIMBA SC YAMFUATA RASMI LUIS

BAADA ya kuwepo kwa tetesi kwamba Al Ahly ina mpango wa kumtoa kwa mkopo winga wake, Luís Miquissone, inaelezwa kwamba, uongozi wa Simba fasta umemfuata mchezaji huyo kutaka kumrejesha kikosini hapo. Luis ambaye alikuwa mchezaji wa Simba kwa kipindi cha msimu mmoja na nusu kuanzia Januari 2020 hadi Agosti, 2021, tangu ajiunge na Al Ahly…

Read More

ARTETA AMECHOKA KUWATETEA WACHEZAJI

 MIKEL Arteta, Kocha Mkuu wa Arsenal amesema kuwa walistahili kupata ushindi kwenye mchezo wao dhidi ya Newcastel United. Arsenal ilipoteza kwa kufungwa mabao 2-0 dhidi ya Newcastle United kwenye mchezo wa ligi uliochezwa Uwanja wa St James Park. Kichapo hicho kimeifanya timu hiyo kuwa kwenye wakati mgumu katika kusaka nafasi ya kucheza michuano ya Ligi…

Read More

GEITA GOLD V SIMBA SASA KUPIGWA CCM KIRUMBA

 MCHEZO wa Ligi Kuu Bara kati ya Geita Gold v  Simba unaotarajiwa kuchezwa Mei 22,2022 utachezwa Uwanja wa CCM Kirumba. Geita Gold imekuwa kwenye mwendo mzuri msimu huu baada ya kuanza kwa kusausua mwanzoni mwa msimu na sasa inacheza soka bora. Mchezo wake uliopita ilicheza dhidi ya Mbeya Kwanza na ilishinda bao 1-0 Uwanja wa…

Read More

YANGA YAJIVUNIA USAJILI WA NYOTA WAO

MJUMBE wa Kamati ya Mashindano ya Yanga na Mkurugenzi wa Uwekezaji wa GSM, Injinia Hersi Said, anajivunia usajili bora wa kiungo mchezeshaji, Salum Aboubakari ‘Sure Boy’ ambao umeongeza ubora wa kikosi chao.  Sure Boy ni kati ya wachezaji watano waliosajiliwa na Yanga katika dirisha dogo msimu huu akitokea Azam FC. Wachezaji wengine waliosajiliwa na timu…

Read More

SAFU YA USHAMBULIAJI YAMLIZA PABLO

 PABLO Franco,Kocha Mkuu wa Simba amesema kuwa tatizo ambalo linamsumbua kwa sasa ni ubora wa wachezaji wake hasa kwenye safu ya ushambuliaji. Kwenye mchezo wao mzunguko wa pili dhidi ya Azam FC Uwanja wa Azam Complex uliochezwa Mei 18, mabingwa hao watetezi walilazimisha sare ya kufungana bao 1-1. Ni Rodgers Kola alifunga dk ya 37…

Read More

BOSI MPYA MANCHESTER UNITED AVUNJA MKATABA

BOSI mpya wa Manchester United, Erik ten Hag amevunja mkataba wake ili kuiwahi klabu yake hiyo mpya tayari kwa kuweka mambo sawa. Ten Hag alitarajiwa kumaliza mkataba wake na Ajax, Juni 30, mwaka huu, lakini Jumatatu alitarajiwa kutua ndani ya Manchester United lakini sasa ameondoka zikiwa zimesalia wiki sita kabla ya kumalizana na timu yake…

Read More

PABLO AAPA KUIUA AZAM, AKATA TAMAA YA UBINGWA

KOCHA Mkuu wa Simba, Pablo Franco amesema kuwa watafanya kila liwezekanalo kuhakikisha wanapata ushindi dhidi ya Azam FC ili kuendelea kukusanya pointi nyingi zaidi.   Simba leo Jumatano wanatatarajiwa kucheza na Azam FC katika mchezo wa mzunguko wa pili wa ligi kuu utakaofanyika katika Uwanja wa Azam Complex, Chamazi, Dar.   Simba wataingia katika mchezo…

Read More

PABLO ACHIMBA MKWARA WA UBINGWA YANGA

KOCHA Mkuu wa Simba, Pablo Franco raia wa Hispania, amefichua kuwa anaamini suala la ubingwa kwa Yanga bado gumu kwa kuwa hata wao wana nafasi kubwa ya kutwaa ubingwa huo ikiwa Yanga wataendelea kuangusha pointi katika mechi zao za Ligi Kuu Bara. Pablo ametoa kauli hiyo kufuatia Yanga kufikisha pointi 57 baada ya mechi 23…

Read More

YANGA KAZINI TENA DHIDI YA MBEYA KWANZA

 VINARA wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Yanga wanaonolewa na Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi Ijumaa watakuwa kwenye msako wa pointi tatu. Ni mchezo wa ligi dhidi ya Mbeya Kwanza utakaochezwa Uwanja wa Mkapa saa 1:00 usiku. Awali mchezo huo ulitarajiwa kuchezwa Jumamosi ya Mei 21 sasa ngoma itapigwa Mei 20, Uwanja wa Mkapa. Yanga imetoka kushinda…

Read More