
SAUTI:ISHU YA MANZOKI KUIBUKA SIMBA MAPYA YAIBUKA
SUALA la Cesor Manzonki kuibuka ndani ya Simba mapya yameibuk baada ya uongozi wa Simba kubainisha kuwa hawana mpango wa kumsajili kutokana na mvutan uliopo kati ya Simba na Klabu ya Vipers anayocheza nyota huyo