
AZAM FC YAPOTEZA MCHEZO WAKE WA KIRAFIKI MISRI
OFISA Habari wa Azam FC,Zakaria Thabit amesema kuwa wamepoteza mchezo wa kwanza wakiwa nchini Misri. Baada ya ubao kusoma Wadi Degla 1-0 Azam FC ikiwa ni mchezo wa kwanza wa kirafiki,. Timu hiyo imeweka kambi nchini Misri ikiwa ni maandaizi kwa ajili ya msimu wa 2022/23 ambao unatarajiwa kuanza Agosti. Thabit amesema kuwa ulikuwa ni…