
HUYU HAPA MWAMBA MWENYE REKODI YAKE JANGWANI
KIUNGO mshambuliaji wa Yanga, Maxi Nzengeli anashikilia rekodi ya kuwa mfungaji wa bao la kwanza ndani ya Ligi Kuu Bara msimu wa 2024/25 akiwa na uzi wa Yanga. Bao hilo alifunga katika mchezo wa ligi dhidi ya Kagera Sugar uliochezwa Uwanja wa Kaitaba ilikuwa ni Agosti 29 2024 mabingwa hao watetezi walicheza mchezo wa kwanza…