Uganda vs Tanzania AFCON leo, ratiba hii hapa
KASI ya AFCON 2025 inaendelea na leo Desemba 27 kuna mechi za hatua ya makundi zinachezwa. Miongoni mwa mchezo ambao unatarajiwa kuwa na ushindani mkubwa ni Uganda vs Tanzania na ikumbukwe kwamba timu hizi zote mbili zilipoteza mechi za ufunguzi. Hii hapa ratiba ya AFCON 2025 Benin vs Botswana, saa 9:30 alasiri Senegal vs Congo…