HUYU HAPA MWAMBA MWENYE REKODI YAKE JANGWANI

KIUNGO mshambuliaji wa Yanga, Maxi Nzengeli anashikilia rekodi ya kuwa mfungaji wa bao la kwanza ndani ya Ligi Kuu Bara msimu wa 2024/25 akiwa na uzi wa Yanga. Bao hilo alifunga katika mchezo wa ligi dhidi ya Kagera Sugar uliochezwa Uwanja wa Kaitaba ilikuwa ni Agosti 29 2024 mabingwa hao watetezi walicheza mchezo wa kwanza…

Read More

MKWAKWANI,DAKIKA 45,COASTAL UNION 0-1 YANGA

UWANJA wa Mkwakwani Januari 16 mchezo wa Ligi Kuu Bara kati ya Coastal Union na Yanga ni mapumziko. Yanga inakwenda vyumbani ikiwa inaongoza kwa bao 1-0 katika dakika 45 za mwanzo. Ni bao la Fiston Mayele anamtungua Mussa Mbissa dakika ya 40 akiwa ndani ya 18. Coastal Union wanacheza mpira huku Yanga wakiwa katika mbinu…

Read More

DUBE ANASEPA AZAM FC KUIBUKIA MITAA YA KARIAKOO

MUUAJI anayetabasamu Prince Dube ameomba kuondoka ndani ya kikosi cha Azam FC baada ya kuandika barua ya kuomba kuvunja mkataba wake. Dube ambaye amekuwa akiwatesa wababe wa Kariakoo hasa Simba amekuwa na zali la kuwafunga kila anapokutana nao kwenye mechi za ushindani amekuwa akitajwa kuwa kwenye rada za mabosi wa Kariakoo kati ya Simba na…

Read More

POLISI TANZANIA MAJANGA TUPU

HAKUKUWA na usalama mkubwa kwa Polisi Tanzania walipokuwa ndani ya Uwanja wa Liti baada ya kuacha poiti zote tatu. Ni majanga matupu kwa Polisi Tanzania wanaotafuta matumaini ya kucheza mchezo wa mtoano na kujinasua kutoka kwenye nafasi ya mwisho kwenye msimamo. Aprili 7 ubao ulisoma Singida Big Stars ubao ulisoma Singida Big Stars 3–0 Polisi…

Read More

AZAM FC WANA JAMBO LAO

KOCHA Mkuu wa Azam FC Yusuph Dabo amesema kuwa watafanyia kazi makosa yaliyopita kwenye mchezo wao dhidi ya Singida Fountain Gate ili kuendelea kupata ushindi. Katika mchezo huo Azam FC ilipata bao la ushindi dakika ya 90 kupitia kwa nyota wao Idd Suleiman, (Nado) alimtungua kipa wa Singida Fountain Gate, Beno Kakolanya. Singida Fountain Gate…

Read More

SIFA ZA KOCHA MPYA SIMBA

WAKATI majina mbalimbali ya makocha yakihusishwa kwenda kurithi nafasi ya Didier Gomes ndani ya Simba, mwenyekiti wa klabu hiyo, Murtaza Mangungu ametaja sifa za kocha wanayemtaka.   Mangungu alisema kwa kipindi ambacho wanapitia hivi sasa, wanahitaji kocha ambaye atakuwa tayari kukubaliana na changamoto na kubadili upepo kwa haraka ndani ya timu hiyo.   Mangungu aliongeza kuwa, Simba ni kubwa na imepokea maombi na CV za makocha wenye majina makubwa na…

Read More

THIAGO AAMBIWA KWAMBA HAMNA KITU

GWIJI wa Liverpool, Dietmar Hamann amemshukia kiungo Thiago Alcantra akiweka wazi kuwa ni moja ya wachezaji wa Ulaya wanaopewa sifa kubwa tofauti na uwezo wake. Mjerumani huyo amesema Thiago ni bure kabisa timu napokuwa haina mpira licha ya kwamba amesifiwa alikuwa ni mchezaji muhimu kwenye kikosi cha Jurgen Klopp. Nyota huyo ni miongoni mwa wale…

Read More

ANGA LA KIMATAIFA SIMBA NA YANGA ZATESA KWA MKAPA

KWENYE anga la kimataifa wawakilishi wa Tanzania Simba katika Ligi ya Mabingwa Afrika na Yanga kwenye Kombe la Shirikisho wamefanya kweli kwa kukusanya pointi za kutosha Uwanja wa Mkapa. Yanga wamekimbiza kwenye kusepa na pointi ambazo ni 9 wakiwa hawajaacha hata moja katika mechi walizocheza Uwanja wa Mkapa huku Simba ikisepa na pointi sita na…

Read More

SIMBA MIKONONI MWA MTIBWA SUGAR

BAADA ya kugawana pointi mojamoja dhidi ya Namungo, Uwanja wa Majaliwa kete inayofuata kwa Simba ni dhidi ya Mtibwa Sugar. Chini ya Kocha Mkuu Juma Mgunda akishirikiana na Seleman Matola mchezo wao wa kwanza kukaa benchi walishuhudia ubao ukisoma Namungo 2-2 Simba. Timu hiyo ndani ya tatu bora haijawa na mwendo mzuri na itamkosa kiungo…

Read More

SHINDA MKWANJA WA SHILINGI 200,000,000 NA MERIDIANBET SIKUKUU HII

Hupaswi kukaa kinyonge kipindi hichi cha sikukuu kwani mabingwa wa michezo ya kubashiri kampuni ya Meridianbet wanahakikisha unakua moja ya watu watakaoifurahia sikukuu kwa kupiga mkwanja wa kutosha. Kupitia michezo mbalimbali ambayo itakwenda kupigwa leo katika ligi kuu ya Uingereza kampuni ya Meridianbet imemuwekea mteja wake Odds nzuri, Hivo mteja atatakiwa kuweka mkeka wake tu…

Read More