COASTAL UNION 0-0 SIMBA

MILANGO ni migumu kwa timu zote mbili ambazo zinasaka pointi tatu pale Uwanja wa Mkwakwani, Tanga. Ubao baada ya dakika 45 za mwanzo kukamilika umesoma Coastal Union 0-0 Simba. Coastal Union wao hawana matatizo kuingia ndani ya 18 bali wanafanya majaribio wakiwa nje ya 18 kupitia kwa Majimengi amaye anawapa tabu mabeki wa Simba. Simba…

Read More

HIKI HAPA KIKOSI CHA SIMBA V COASTAL UNION

JUMA Mgunda, Kocha Mkuu wa Simba anarejea nyumbani Coastal Union lakini leo hatakuwa kocha wa Coastal Union bali atakuwa kwenye benchi la Simba. Simba inasaka pointi tatu ambazo Coastal Union nao wanazihitaji pia na hiki hapa kikosi kitakachoanza kwa upande wa Simba kuikabili Coastal Union namna hii:- Aishi Manula Mohamed Hussein Joash Onyango Shomari Kapombe…

Read More

KIUNGO WA KAZI AREJEA SIMBA, BEKI USHIRIKINA WAMPONZA

WAKATI Augustino Okra akirejea kikosi cha Simba anapishana na mwamba Gadiel Michael ambaye atakosekana kwenye mechi tatu za ushindani ndani ya Simba. Okra alipata maumivu kwenye mchezo wa ligi uliopita dhidi ya Mbeya City na alikosekana kwenye mchezo dhidi ya Polisi Tanzania. Kwa sasa yupo fiti na alikuwa sehemu ya wachezaji waliofanya mazoezi ya mwisho…

Read More

NYOTA HAWA SIMBA KUPIGWA PANGA

INAELEZWA kuwa miongoni mwa nyota ambao wataachwa ndani ya kikosi cha Simba hivi karibuni ni pamoja na beki wa kazi Mohamed Ouattara. Huyo nibeki wa kati wa Simba ni miongoni mwa nyota ambao wanatajwa kuwa kwenye mpango wa kuondolewa kikosini hapo kutokana na kushindwa kuonyesha makali yake. Mbali na beki huyo ambaye alikuwani chaguo la…

Read More

MESSI ALIKIWASHA LICHA YA KUKOSA PENALTI

GWIJI wa soka wa England na beki wa zamani wa Manchester United, Rio Ferdind amekiri kuwa nahodha wa Argentina, Lionel Messi alikuwa katika kiwango bora juzi Jumatano kwenye mchezo wa Kombe la Dunia. Jumatano timu ya taifa ya Argentina ilishinda mabao 2-0 dhidi ya Poland katika mchezo wa Kombe la Dunia na kufuzu hatua ya…

Read More

GADIEL MICHAEL AFUNGIWA MECHI TATU KISA KIPO HAPA

Mchezaji Simba SC, Gadiel Michael amefungiwa michezo mitatu (3) na kutozwa faini ya Sh. 500,000 (laki tano) na TPLB kwa kosa la kulazimisha kuingia uwanjani saa 4:25 asubuhi ya siku ya mchezo wa sare ya 1-1 dhidi ya Mbeya City kwa kile alichoeleza alitaka kukagua kiwanja. Licha ya walinzi wa uwanja huo kumzuia Gadiel (ambaye…

Read More

AZAM FC HESABU KWA POLISI TANZANIA

VIJANA wa Azam FC chini ya Kocha Mkuu, Kali Ongalakwa sasa wapo kwenye maandalizi ya mechi za Ligi Kuu Bara zinazofuata ndani ya Desemba,2022. Chini ya Ongala kwenye mechi 7 ambazo amekiongoza kikosi hicho hajapoteza mchezo akiwa amekusanya clean sheet nne bila kuambulia sare. Kituo kinachofuata ni dhidi ya Polisi Tanzania, Desemba 5, Uwanja wa…

Read More