NGOMA NZITO NYANKUMBU, NTIBANZOKIZA ALA UMEME

JASHO la wanaume kwenye msako wa pointi tatu Uwanja wa Nyakumbu limegotea kwa kila mmoja kusepana pointi mojamoja. Baada ya dakika 90 ubao umesoma Geita Gold 2-2 Mtibwa Sugar. Said Ntibanzokiza alipachika bao la kuongoza dakika ya 34 kwa mkwaju wa penalti na alitoa pasi moja ya bao kwa Juma Luizio dakika ya 45+4 Kwa…

Read More

HIVI HAPA VIGONGO VYA SIMBA DESEMBA

MWEZI wa shughuli huu hapa Desemba ambapo kila timu zina vigongo vya kazi kukamilisha mwaka 2022 na kuukaribisha 2023. Simba nao wana kazi kubwa kusaka pointi tatu kwenye mechi ambazo wanacheza kusaka pointi tatu. Kete za Simba ni 6 ambazo ni dakika 540 tayari wameshayeyusha 90 ndani ya uwanja.Vigongo viwili pekee watakuwa nyumbani na vigongo…

Read More

HIZI HAPA ZA YANGA DESEMBA, NABI KUIBUKIA KWA MKAPA

BAADA ya kufungiwa mechi tatu kwa kosa la kumshambulia kwa maneno mwamuzi wa kati na wapembeni Kocha Mkuu wa Yanga, Nasreddine Nabi ataibukia kwenye Uwanja wa Mkapa mchezo dhidi ya Coastal Union. Yanga ndani ya Desemba ina vigongo 7 ambapo Nabi kafungiwa kwenye mechi tatu kutokana na kosa hilo hicyo ni Cedric Kaze, kocha msaidizi…

Read More

SUAREZ: INAUMA KUSEMA KWAHERI KOMBE LA DUNIA

STAA wa Timu ya Taifa ya Uruguay, Luis Suarez amesema kuwa inauma kusema kwaheri Kombe la Dunia. Nyota huyo hakuwa na chaguo baada ya timu hiyo kuondolewa mazima kwenye hatua ya makundi licha ya kupata ushindi kwenye mchezo wa mwisho. Uruguay waliinyoosha mabao 2-0 Ghana kwenye mchezo wa makundi na kukusanya pointi tatu lakini walikwama…

Read More

SAKA KUWAKABILI SENEGAL

NYOTA wa timu ya taifa ya England, Bukayo Saka anatarajiwa kuanza kikosi cha kwanza kwenye mchezo wa leo dhidi ya timu ya taifa ya Senegal. Huu ni mcheza kwanza kwa timu hizi mbili kukutana kwenye Kombe la Dunia na rekodi zinaonyesha kuwa hawajawahi kumenyana hata kwenye mchezo wa kirafiki. Ikumbukwe kwamba nyota huyo ambaye anakipiga…

Read More

PELE AWATOA HOFU KUHUSU AFYA YAKE

LEGEND kwenye ulimwengu wa soka ambaye anatajwa kuwa mchezaji bora wa muda woteraia wa Brazil Pele amewaomba mashabiki na wale wanaomfuatilia wasiwe na mashaka kuhusu afya yake. Nyota huyo kupitia mitandao ya kijamii ameandika ujumbe ambao unaeleza kwamba anaendelea vizuri na matibabu anaamini atarejea kwenye ubora wake. Pele alipelekwa hospitali ya Sao Paulo tangu Jumanne…

Read More

ARGENTINA YA LIONEL MESSI HIYO ROBO FAINALI

TIMU ya taifa ya Argentin inatinga hatua ya robo fainali Kombe la Dunia Qatar kwa ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya timu ya taifa ya Austaralia. Kwenye mchezo wa hatua ya 16 bora uliochezwa Uwanja wa Ahmad bin Ali mashabiki 45,032 walishuhudia burudani hiyo. Ni mabao ya Lionel Messi ambaye alikuwa nyota kwenye mchezo huo…

Read More

SIMBA YAWATULIZA COASTAL UNION MKWAKWANI

 MCHEZO wa pili mfululizo kikosi cha Simba kinafanikiwa kushinda kwenye mechi za ligi baada ya leo Desemba 3,2022 kushinda mbele ya Coastal Union. Ubao wa Uwanja wa Mkwakwani, umesoma Coastal Union 0-3 Simba na wakasepa na pointi tatu mazima. Mabao ya Moses Phiri dakika ya 53 na dakika ya 60 kwa mkwaju wa penalti yalifungwa…

Read More

HAWA HAPA MASTAA WA YANGA WATAKAOIKOSA PRISONS

KUELEKEA kwenye mchezo wa kesho wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Tanzania Prisons kuna baadhi ya nyota wa Yanga ambao wataukosa mchezo huo. Kwa mujibu wa Cedrick Kaze, kocha msaidizi wa Yanga amesema kuwa wapo ambao wataukosa mchezo huo kutokana na sababu mbalimbali. “Dickson Job ana adhabu hatakuwepo kwenye mchezo wa kesho, Jesus Moloko na…

Read More