
HIKI HAPA KIKOSI CHA YANGA DHIDI YA PRISONS
YANGA ina kazi ya kusaka pointi tatu mbele ya Tanzania Prisons inayozihitaji pia pointi hizo. Hiki hapa kikosi cha Yanga kinachotarajiwa kuanza namna hi:- Djigui Diarra Kibwana Shomari Joyce Lomalisa Yannick Bangala Ibrahim Bacca Khalid Aucho Feisal Salum Tuisila Kisinda Clement Mzize Aziz Ki Dickson Ambundo