
KOMBE LA DUNIA 2022: SENEGAL IMEKUWA NCHI YA KWANZA YA AFRIKA KUVUKA NGAZI YA MAKUNDI
Timu ya taifa ya Senegal Simba wa Teranga imekuwa timu ya kwanza ya Afrika kufanikiwa kuingia raundi ya 16 katika michuano ya mwaka huu baada ya kuifunga Ecuador bao 2-1. Senegal iliingia kwenye michuano kwa kusua sua ikimkosa mchezaji wake hatari Sadio Mane lakini ikajirekebisha baada aya kupoteza mchezo wake wa kwanza dhidi ya…