
2022 IMEGOTA UKINGONI,2023 IWE YEYE FURAHA
TAYARI mwaka 2022 umemalizika na tumeingia mwaka 2023, kulikuwa na matukio mengi kwenye dunia ya soka mazuri na mabaya ambayo kwa kiasi kikubwa yaliibua mijadala mikubwa kwa wanafamilia wa mpira wa miguu nchini. Natarajia kuona mabadiliko makubwa kwenye soka letu katika nyanja zote kuanzia utawala, uendeshaji pamoja na utendaji ili tuendelee kuona soka letu likipiga…