FEISAL KUIBUKIA AZAM FC

NYOTA wa Yanga Feisal Salum anatajwa kumalizana na mabosi wa Azam FC ambao wanahitaji huduma yake. Nyota huyo anatajwa kuwa kwenye rada za mabosi wa Azam FC ambao wanahitaji kuboresha kikosi chao. Mabosi wa Yanga hivi karibuni waliweka wazi kuwa nyota huyo hawezi kusepa ndani ya kikosi hicho kutokana na mipango iliyopo ndani ya timu…

Read More

KLOPP ANACHEKA ISHU YA USAJILI WA JUDE

KOCHA Mkuu wa Liverpool Jurgen Klopp alicheka alipoulizwa kama Liverpool inaweza kumsajili Jude Bellingham mnamo Januari lakini alikiri kuwa klabu hiyo imejiandaa kwa dirisha lijalo la usajili. Liverpool wamekuwa wakihusishwa na kiungo wa kati wa Borussia Dortmund Jude Bellingham ili kuimarisha safu yao ya kati ambayo ubora wake umeporomoka kutokana na kuwa na wachezaji ambao…

Read More

MATUMAINI YA UBINGWA KWA RANGERS YAPO

NYOTA John Lundstram bao lake la kipindi cha kwanza liliweka hai matumaini ya Rangers ya ubingwa wa Ligi Kuu ya Scotland walipoilaza Ross County 1-0 huko Dingwall. Kombora kali la kiungo huyo lilimfanya bosi mpya Michael Beale kupata ushindi mara tatu ndani ya siku nane pekee baada ya kipa Jon McLaughlin ambaye alifanya kazi kubwa…

Read More

KUUMIA KWA PHIRI SIMBA PASUA KICHWA USHAMBULIAJI

KUUMIA kwa mshambuliaji tegemeo wa Simba, Moses Phiri kunalipasua kichwa benchi la ufundi kwa kuwa kila wakifikiria nani atapewa mikoba yao wanavurugwa. Kibu Dennis uwezo wake kwa msimu wa 2022/23 umekuwa mbovu kwa kuwa kila anapopata nafasi maamuzi yake anayajua mwenyewe. John Bocco nahodha wa Simba mwenye mabao matano bado kasi yake ile ya utupiaji…

Read More

MIL 350 ZAMSHUSHA PACHA WA PHIRI SIMBA

SIMBA inatakiwa ivunje benki na kutenga kitita cha Sh 350Mil ili kufanikisha usajili wa straika wa Power Dynamo ya nchini Zambia, Kennedy Musonda ili kuwa pacha wa Mzambia mwenzake, Moses Phiri kikosini hapo. Zambia wanatokea wachezaji wawili tegemeo hivi sasa katika kikosi cha Simba ambao ni kiungo Clatous Chama na Moses Phiri anayecheza nafasi ya…

Read More

LIVERPOOL NDIO BASI TENA WACHAPWA NA CITY

BEKI wa kati wa Manchester City, Nathan Ake alifunga bao la ushindi kwa kichwa wakati timu hiyo ikiwachapa mabingwa watetezi Liverpool 3-2 katika mchezo wa kusisimua wa Kombe la Carabao. Ushindi huo uliopatkana Uwanja wa Etihad unaipa nafasi City kuweza kutinga hatua ya robo fainali. Licha ya kutocheza kwa mechi za ushindani kwa mwezi mmoja…

Read More

MASTAA HAWA YANGA WAMEKALIA KUTI KAVU, MMOJA AONGEZWA KIKOSINI

KWENYE orodha ya mastaa wanaotajwa kuwekwa kwenye hesabu za kuondolewa ndani ya Yanga ni pamoja na Gael Bigirimana, Heritier Makambo,Tuisila Kisinda. Ni majina mawili yataondolewa Yanga kwa wachezaji wa kigeni ili kupata wawili watakaoingia kwenye kikosi cha kwanza kwa sababu idadi ya nyota 12 inayohitajika imetimia. Ni nyota wawili ambao wanatarajiwa kurejea kikosi cha kwanza…

Read More

AVIATOR SUMMER FLIGHT YA MERIDIANBET: PROMOSHENI BOMBA YA KASINO MSIMU HUU WA SIKUKUU!

Huhitaji kuwa ‘serious’ sana unapojivinjari viunga vya kasino bomba ya mtandaoni ya Meridianbet. Ushindi unaenda sambamba na burudani. Mchezo wa Aviator Summer Flight. Ni Promosheni kabambe kabisa msimu huu wa Sikukuu za Krismas na Mwaka mpya ambayo inaanza Disemba 23 mpaka Disemba 31, 2022. Huu ni mchezo rahisi unaokupa nafasi kubwa ya ushindi kwa kupaa…

Read More

SIMBA QUEENS YAGAWANA POINTI NA YANGA PRINCESS

NYOTA Vivian Corazone Aquino ambaye alianza kusugua benchi kwenye dabi ya Wanawake limetosha kuipa pointi moja Simba Queens ilikuwa dakika ya 59. Baada ya dakika 90 kukamilika kwenye mchezo wa leo Desemba 22,2022 ubao wa Uwanja wa Mkapa ulisoma Simba Queens 1-1 Yanga Princess. Vivian aliweka mzani sawa kipindi cha pili na kufuta bao matata…

Read More