CHUMA CHA KAZI NDANI YA AZAM FC
NI moja ya mazao ya Azam FC inayonolewa na Kocha Mkuu, Kali Ongala akiwa anaaminika kwenye kikosi cha wale wakubwa wanaoshiriki Ligi Kuu Bara. Nyota huyo ni Cyprian Kachwele ambaye ni mshambuliaji kutoka kwenye chuo cha kulelea vipaji ndani ya Azam Academy. Wakati Novemba 15 mwaka huu, akitarajia kutimiza umri wa miaka 16, Kachwele alifunga…