
NGOMA NZITO UEFA
NGOMA imekuwa ngumu kwa wababe wote wawili kusepa na ushindi katika mchezo wa UEFA Champions League. Ubao wa Uwanja wa Santiago Bernabeu umesoma Real Madrid 1-1 Manchester City ikiwa ni hatua ya nusu fainali ya Kwanza. Vini Jr alianza kutupia upande wa Real Madrid dakika ya 36 kipindi cha kwanza bao ambalo lilisawazishwa kipindi cha…