
SISI WALEE, ONYANGO AOMBA KUONDOKA SIMBA
SISI walee, Onyango aomba kundoka Simba ndani ya Spoti Xtra Alhamisi
SISI walee, Onyango aomba kundoka Simba ndani ya Spoti Xtra Alhamisi
YANGA imetanguliza mguu mmoja hatua ya fainali kwa ushindi wa mabao 2-0 Marumo Gallants. Kipindi cha pili Kocha Mkuu,Nasreddine Nabi amekamilisha kufunga hesabu kwa nyota wake kupachika mabao. Ni Aziz KI kiungo wa Yanga alianza kutupia bao la ufunguzi dakika ya 63 kwa shuti akiwa ndani ya 18 na lile la pili ni mali ya…
KLABU ya Ihefu imeanza hesabu kuelekea mchezo wao wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Coastal Union. Ikumbukwe kwamba Ihefu inashikilia rekodi ya kuwa timu ya kwanza kuifunga Yanga kwa msimu wa 2022/23. Yanga ni vinara wa ligi wakiwa na mechi tatu mkononi ambapo mchezo ujao ni dhidi ya Dodoma Jiji. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa jumapili,…
HATUA ya nusu fainali ya kwanza Uwanja wa Mkapa, ubao unasoma Yanga 0-0 Marumo Gallants. Dakika 45 za nguvu kwa Yanga ambao wanapambania kutinga hatua ya nusu fainali. Kwenye upande wa viungo na ushambuliaji kazi kubwa inafanywa na Aziz KI, Tuisila Kisinda ambaye amekosa kwa kiasi fulani utulivu kutengeneza mashambulizi kwa Fiston Mayele. Mayele anaonyesha…
MTIBWA Sugar yenye maskani yake Morogoro kwa sasa ipo kwenye maandalizi ya mchezo ujao dhidi ya Polisi Tanzania. Mchezo huo ni wa Ligi Kuu Bara ambao ni wa mzunguko wa pili. Miongoni mwa mastaa ambao wapo kambini ni Razack Kimweri kipa anayekuzwa ndani ya chuo cha soka Bongo pale Morogoro, Mtibwa Sugar. Mchezo huo unatarajiwa…
KOCHA Mkuu wa Yanga, Nasreddine Nabi amesema kuwa ni muhimu kwa safu yake ya ulinzi kuongeza umakini kwenye mapigo huru na mpira ya juu. Ni Dickson Job ambaye ni beki chaguo la kwanza, Yannick Bangala huyu ni kiraka, Ibraham Bacca hawa Nabi hupenda kuwatumia kwenye eneo la ulinzi. Leo Yanga ina kibarua cha kusaka ushindi…
TAYARI Yanga wapo tayari kuwakabili Marumo Gallants mchezo wa hatua ya nusu fainali ya kwanza. Katika kikosi cha kwanza Djigui Diarra kipa namba moja wa Yanga ameanza langoni. Dickson Job, Kibwana Shomari Bakari Mwamnyeto amevaa kitambaa cha unahodha Bacca Yannick Bangala Jesus Moloko Kahlid Aucho Fiston Mayele Aziz Ki Tuisila Kisinda
JOHN Bocco nahodha wa Simba amesema kuwa matokeo ambayo wameyapata hawajapenda lakini ni mpira jambo waliomba radhi kwa mashabiki. Simba imepoteza nguvu ya kutwaa taji lolote msimu wa 2022/23 baada ya matumaini yao kuzimika kwenye kila idara. Katika ligi wapo nafasi ya pili huku vinara wakiwa ni Yanga wanaohitaji pointi tatu watetee ubingwa wao, katika…
UKIFIKA Mbeya usisahu ukarimu wa watu wale na namna wanavyojivunia uoto wa asili hakika kàtika hili wanastahili pongezi. Wanasema kàtika orodha ya marafiki ulionao usisahau kuwa na mmoja anayetoka Mbeya hakika hautajuta ni furaha muda wote kuwa na rafiki kutoka nyanda za juu kusini. Hata Deus Kaseke anayekipiga ndani ya Singida Big Stars ni zao…
NGOMA imekuwa ngumu kwa wababe wote wawili kusepa na ushindi katika mchezo wa UEFA Champions League. Ubao wa Uwanja wa Santiago Bernabeu umesoma Real Madrid 1-1 Manchester City ikiwa ni hatua ya nusu fainali ya Kwanza. Vini Jr alianza kutupia upande wa Real Madrid dakika ya 36 kipindi cha kwanza bao ambalo lilisawazishwa kipindi cha…
KIUNGO Kanoute lazima akubali kubadilika kutokana na mikato yake ya kimyakimya kuigharimu timu yake kila mara. Miongoni mwa wachezaji imara na bora wawapo uwanjani kwenye eneo la ukabaji huwezi kumuweka kando Sadio Kanoute. Huyu ni kiungo wa ukabaji asilia lakini amekuwa akiigharimu mara nyingi timu pamoja na kutokuwa mlinzi mzuri kwa wachezaji wa timu pinzani….
MTAMBO wa mabao ndani ya Azam FC, Prince Dube kahusika kwenye mabao 10 ndani ya timu hiyo inayonolewa na Kali Ongala. Dube kampa tabu pia kipa namba moja wa Simba, Aishi Manula kwa kumtibulia rekodi zake za kutofungwa kwenye mechi zote mbili za ligi walipokutana Uwanja wa Mkapa. Manula wa Simba ni namba mbili kwa…
HAWATAAMINI Wasauzi, Robertinho amalizana na straika wa mabao ndani ya Championi Jumatano
KOCHA Mkuu wa Yanga, Nasreddine Nabi ameweka wazi kuwa wapinzani wao Marumo Gallants atakaokutana nao kwenye hatua ya nusu fainali sio wabaya ni timu nzuri. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa na tayari wapinzani wao Gallants wamewasili Bongo alfajiri ya leo. Nabi amesema kuwa wanatambua umuhimu wa mchezo huo wa kesho na mahitaji makubwa…
WANABAKI na pointi zao zilezile 55 baada ya kucheza mechi 33 ndani ya Ligi Kuu England ni Brighton ambao wamepokea kichapo wakiwa nyumbani. Ubao wa Uwanja wa Falmer ulisoma Brighton 1-5 Everton iliyofikisha pointi 32 nafasi ya 17. Maajabu ya mpira kwenye rekodi mashuti 23 walipiga Brighton na matano pekee yakilenga lango huku Everton walipiga…
BAADA ya kumaliza mwendo kwenye kuwania Kombe la Azam Sports Federation sasa nguvu za Simba ni kwenye mechi za ligi. Ni usiku mwingine kwa kazi ya msako wa pointi tatu muhimu ndani ya ligi, Ruvu Shooting wanapambana kupata pointi tatu wacheza mchezo wa mtoano . Vinara wa ligi ni Yanga ambao wamekuwa kwenye mwendo mzuri…
NASREDDINE Nabi, Kocha Mkuu wa Yanga ameweka wazi kuwa wachezaji wamejiandaa kikamilifu kuikabili Marumo Gallants ya Afrika Kusini huku akibainisha kuwa wapinzani wao ni wagumu na wacheukua tahadhari