


KARIAKOO DABI INAHITAJI UMAKINI KWA WOTE
WIKIENDI hii shughuli zote za michezo zitasimama kupisha dakika tisini za machozi, jasho na damu ambapo wababe wa soka la Tanzania Simba na Yanga watashuka dimbani kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara mchezo ambao umebeba mambo mengi kuanzia ndani na nje ya uwanja. Ni mchezo ambao umebeba historia kubwa kwa watani hawa ambapo ni bora timu ikose…

KISA NDEGE MASTAA SIMBA WAGOMEA MECHI
KISA ndege mastaa Simba wagomea mechi, bado kuna swali kwa Aziz Ki?

YANGA YASHUSHA 5 G
HUU ni ushindi mkubwa kwa Yanga kwa msimu wa 2022/23 dhidi ya Kagera Sugar wakisepa na pointi tatu mazima. Ubao wa Uwanja wa Azam Complex umesoma Yanga 5-0 Kagera Sugar baada ya dakika 90 kukamilika. Aziz KI kasepa na mpira wake kwa kuwa amefunga mabao matatu, mawili kwa penalti dakika ya 43 na 90 huku…

YANGA 2-0 KAGERA SUGAR
UBAO wa Azam Complex unasoma Yanga 2-0 Kagera Sugar ikiwa ni mchezo wa Ligi Kuu Bara. Yanga wamepachika mabao hayo kupitia kwa kiungo mshambuliaji Aziz KI ambaye amekuwa kwenye ubora wake. Lile bao la kwanza ni dakika ya 43 baada ya Fiston Mayele kuchezewa faulo na llle la pili shuti akiwa nje ya 18 dakika…


KITAWALA ROBO FAINALI YA LIGI YA MABINGWA KUTOKA MERIDIANBET LEO NA KESHO
Hatua ya Robo fainali ya UCL itaanza leo tena kwenye viwanja tofauti Ulaya, ni mechi mbili Man City vs Bayern Munich na Benfica Vs Inter Milan. Meridianbet inakuhakikishia unapata Odds kubwa na machaguo Zaidi ya 1000+ Tembelea www.meridianbet.co.tz kubashiri soka na kucheza kasino ya mtandaoni. Odds kubwa za Jumanne ya Mabingwa Ni vita vya mbinu…

ALLY NYOTA WA MCHEZAO, ULINZI TATIZO SIMBA
KWENYE mchezo dhidi ya Ihefu mchezaji bora kwa upande wa Simba alikuwa ni Ally Salim na hii inatokana na makosa ya safu ya ulinzi ya Simba yaliyokuwa yakifanywa kila dakika. Salim ikiwa ni mchezo wake wa kwanza kayeyusha dakika 90 bila kutunguliwa akiokoa hatari ngumu ikiwa ni dakika ya 5,6,10,15 zote kutoka kwa washambuliaji wa…

YANGA YAIPASUA KICHWA SIMBA
Yanga yaipasua kichwa Simba, Yanga yabadilishiwa uwanja wa mechi CAF ñdani ya Spoti Xtra Jumanne

USHINDI WA TSH MIL 26 WAMFANYA APAGAWE
Ilikuwa ni kama ndoto iliyootwa usiku na mara ghafla inageuka kweli, kutoka kulala maskini na kuamka Tajiri mwenye mamilioni ndani, hii sio hadithi ya soga ni simulizi ya kweli ya kijana aliyeweka mtaji wad au la Elfu 20 na kupata faida ya Tsh Mil 26. Utajiuliza ilikuaje yakawezekana ni biashara gani aliifanya ikampatia faida kubwa…

VIDEO:MAYELE AFUNGUKIA ALICHOELEKEZWA NA MWALIMU
MAYELE afunguka alichoelekezwa na mwalimu kuwatungua Geita Gold na Yanga kutinga hatua ya nusu fainali

JEAN BALEKE AWALIZA IHEFU, ALLY SALIM MIKONO MIA
LICHA ya Ihefu kuwa bora kwenye mchezo wa leo mbele ya Simba kwenye upande wa umiliki wamekwama kusepa na pointi tatu. Dakika 90 zimekamilika ubao wa Uwanja wa Highland Estate unasoma Ihefu 0-2 Simba. Mabao yote mawili yamefungwa na Jean Baleke kipindi cha pili katika dakika za lala salama ilikuwa dakika ya 83 na 86….

MIAMBA HII IMEKIMBIZA KINOMA KIMATAIFA
MIAMBA wawili wazawa, Mudhathir Yahya na Farid Mussa wamefunga hatua za makundi kwenye Kombe la Shirikisho Afrika wakiwa na rekodi ya kila mmoja kuwatungua TP Mazembe. Hawa ni wazawa wawili ambao wametupia mabao kwenye hatua ya makundi wakati Yanga ikitinga hatua ya robo fainali. Nyota wote wameitungua TP Mazembe ambapo wa wanza kufunga alikuwa ni…

IHEFU 0-0 SIMBA
Uwanja wa Highland Estate Mbeya unapigwa mchezo wa kiume katika msako wa pointi tatu muhimu. Ubao unasoma Ihefu 0-0 Simba huku kila timu ikifanya mashambulizi kwa zamu. Ihefu wanaonekana kuwa bora katika umiliki wa mpira na kufanya majaribio langoni mwa Simba ambapo amekaa Ally Salim. Simba wanamtumia Kibu Denis, Jean Baleke kufanya mashambulizi huku Ihefu…

HIKI HAPA KIKOSI CHA SIMBA DHIDI YA IHEFU
Kikosi cha Simba dhidi ya Ihefu mchezo wa Ligi Kuu Bara namna hii:- Ally Salim yupo langoni Israel Mwenda Gadiel Michael kapewa kitambaa cha unahodha Onyango Kennedy Juma Ismail Sawadogo Pape Sakho Mzamiru Yassin Jean Baleke Habib Kyombo Kibu Dennis Akiba ni Feruz Mwanuke,Kapama, Mkude, Bocco, Mohamed Mussa

BALEKE, CHAMA KWENYE KAZI NYINGINE
CLATOUS Chama, Jean Baleke na Saido Ntibanzokiza baada ya kutimiza majukumu yao kwenye mchezo wa hatua ya robo fainali wakishuhudia ubao wa Uwanja wa Azam Complex ukisoma Simba 5-1 Ihefu leo wana kazi nyingine kusaka ushindi. Mchezo wa leo ni wa ligi unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Highland Estate ikiwa ni mzunguko wa pili ule wa…

VIGOGO WAMEPATA TABU MBEYA
WAKATI leo Ihefu wakitarajiwa kumenyana na Simba kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara mzunguko wa pili rekodi zinaonyesha kuwa vigogo wengi wa Dar wamebuma kusepa na pointi tatu. Ihefu inayonolewa na Kocha Mkuu, John Simkoko na Zuberi Katwila ambaye ni msaidizi imekuwa na mwendo bora kwa mechi wanazocheza nyumbani. Yanga wao kete yao ya kutofungwa…