
AMEIVAA YANGA BOSI WA UNYAMANI ISHU YA CAF
AMEWAVAA Yanga bosi wa Simba ishu ya barua kuhusu bao ambalo lilifungwa kwenye mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Mamelodi Sundowns nchini Afrika Kusini mtupiaji akiwa ni Aziz KI
AMEWAVAA Yanga bosi wa Simba ishu ya barua kuhusu bao ambalo lilifungwa kwenye mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Mamelodi Sundowns nchini Afrika Kusini mtupiaji akiwa ni Aziz KI
Mbele yako ni safari ya kasino mtandaoni ya kusisimua ambapo utakutana na ishara zinazotawala katika ushindi wa kawaida. Kila kitu utakachoona kutoka kwa ishara za msingi katika mchezo ni ishara za Bar na Lucky 7. Wild Mirage ni kasino mtandaoni ya Meridianbet kutoka kwa mtayarishaji Tom Horn. Mbele yako ni burudani ya kusisimua iliyotiwa chumvi…
Usiku wa kusisimua zaidi kwa wapenda soka duniani kote unarejea leo ambapo utaenda kushuhudia michezo mikali ikipigwa katika viwanja viwili tofauti katika hatua ya robo fainali ya ligi ya mabingwa ulaya. Miamba ya soka kutoka nchini Hispania klabu ya Real Madrid itamenyana na klabu ya Manchester katika mchezo wa kwanza wa robo fainali, Huku vinara…
CRDB Federation Cup. Mashujaa wanaifunagshia virago Simba kwenye CRDB Federation Cup kwa ushindi wa penalti 6-5 baada ya dakika 90 kutoshana nguvu kwa kufungana bao 1-1. Simba haina bahati mbele ya Mashujaa kwa kuwa iliwahi kutolewa walipokutana kwenye mashindano hayo hivyo kisasi cha ushindi kwenye ligi kimelipwa mazima katika raundi ya nne. Mashujaa 1-1 Simba…
HOLOMICHUANO ya Ligi ya Mabingwa Ulaya inaendelea leo Aprili 9, 2024 kwa michezo miwili ya mkondo wa kwanza wa hatua ya robo fainali ambapo itamshuhudia Harry Kane akirejea Kaskazini mwa Jiji la London kwa mara ya kwanza tangu alipoondoka Tottenham na kujiunga na miamba ya Ujerumani, Bayern Munich. Kane anatarajiwa kuwa mwiba mkali kwa wenyeji,…
UONGOZI wa Yanga umebainisha kuwa moto wao kwenye anga la kimataifa hautazima kwa kuwa wapo imara kwenye kupambania nembo ya Yanga na Tanzania kiujumla. Ikumbukwe kwamba katika Ligi ya Mabingwa Afrika, Yanga imegotea hatua ya robo fainali ilipopoteza kwa penalti 3-2 dhidi ya Mamelodi Sundowns.
UONGOZI wa Simba umebainisha kwamba upo tayari kwa mchezo wao wa raundi ya nne dhidi ya Mashujaa ya Kigoma mwisho wa reli kwenye mchezo unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Lake Tanganyika. Ni Aprili 8 mapema Simba waliwasili salama Kigoma kwa ajili ya maandalizi ya mwisho ya mchezo wa Aprili 9 2024 saa 10:00 jioni na yule…
Sloti ya Bursting Hot 5 Kasino ya mtandaoni ya Meridianbet imekusogezea sloti ya kijanja ya Bursting Hot 5 kiganjani mwako sasa! Bursting Hot 5 ni mchezo unaotumia matunda kama zile sloti za kizamani ila imeboreshwa zaidi! Sifa mpya zilizoongezwa zinakuhakikishia ushindi mkubwa zaidi. Namna ya Kucheza Mchezo wa Bursting Hot 5 Ukiingia kwenye sehemu ya…
WAPINZANI wa Simba kwenye mchezo wa leo Uwanja wa Lake Tanganyika, Mashujaa wamegomea unyonge mbele ya Mnyama kwa kubainisha kwamba wamefanya maandalizi mazuri kuwakabili. Ipo wazi kwamba baada ya kumaliza ngwe ya kimataifa Simba ikigotea hatua ya robo fainali ina kazi kwenye mashindano ya ndani ambayo ni Ligi Kuu Bara pamoja na CRDB Federation Cup….
ZINAHESABIWA siku kwa sasa kutokana na tarehe kuwa wazi kwa kuwa tayari imeshapangwa na taarifa kwa kila timu zimefika mahali pake kwa mujibu wa taarifa. Ikumbukwe kwamba Yanga na Simba walikuwa na kazi kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika wamegotea wote hatua ya robo fainali. Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) imetangaza tarehe ya mchezo wa…
BAADA ya kufungashiwa virago kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika, Simba imerejea Bongo na ina kazi yakufanya kwenye mchezo dhidi ya Mashujaa FC ya kutoka Kigoma. Hivyo Simba ipo mikononi mwa Mashujaa kwenye msako wa ushindi ndani ya dakika 90 Uwanja wa Lake Tanganyika. Ipo wazi kwamba Simba imegotea hatua ya robo fainali Ligi ya Mabingwa…
MZEE wa Utopolo shabiki wa Yanga ameweka wazi kuwa mwanzo mwisho watafanya makubwa wakati ujao kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika huku bao ambalo lilifungwa na Aziz KI kuwa ni bao halali hivyo wanauhakika kwamba watarejea kwenye ubora.
MSIMU MPYA MAMBO MAPYA! Gazeti lako bora la Championi linalotoka mtaani mara mbili kwa wiki, Jumatatu na Ijumaa, sasa limekuja kivingine. Tunatoa zawadi kwako ewe msomaji ambapo kwa kununua GAZETI LA CHAMPIONI, utapata fursa ya kuzawadiwa jezi mpya ya Simba au Yanga za msimu wa 2023/2024, pindi ununuapo gazeti letu kupitia Global App. Soma Gazeti…
Fishtastic ni kasino ya mtandaoni ambayo imeandaliwa na Red Tiger. Mchezo huu una sifa nyingi na bonasi za kasino zenye kuvutia. Waogeleaji watapata ishara za pesa na samaki, na kuna pia mizunguko ya bure Jisajili Meridianbet ufurahie mengi kuhusu mchezo huu. Kasino ya Fishtastic ni mchezo wenye safu tano zilizowekwa katika nguzo tatu na ina…
WAWAKILISHI wa Tanzania Simba kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika tayari wapo ndani ya jiji la Dar. Timu hiyo ilikuwa nchini Misri kwa ajili ya mechi ya robo fainali Ligi ya Mabingwa Afrika. Mchezo wa pili ilipoteza kwa kufungwa mabao 2-0 dhidi ya Al Ahly ya Misri ambao ni mabingwa watetezi. Ipo wazi kuwa timu zote…
KIUNGO mshambuliaji wa Yanga, Stephane Aziz KI baada ya timu yake kutolewa kwenye mashindano ya Ligi ya Mabingwa Afrika na Mamelodi Sundowns kwa mikwaju ya penalti hatua ya robo fainali, ameandika katika ukurasa wake wa Instagram ujumbe wa kuwashukuru mashabiki kwa kuwa nao pamoja kwenye safari ya michuano hiyo msimu huu 2023/2024. KI ameandika; “Tumeonyesha…