YANGA NDANI YA AFRIKA KUSINI

MSAFARA wa Yanga ukiwa na jumla ya wachezaji 26 miongoni mwao akiwemo Mudhathir Yahya, Jonas Mkude, Clement Mzize, Pacome, Yao umewasili salama nchini Afrika Kusini. Timu ya Yanga inayonolewa na Kocha Mkuu, Miguel Gamondi imepokelewa na balozi wa Tanzania nchini Afrika Kusini, James Bwanà. Aprili 5 2024 Yanga ina kibarua cha kusaka ushindi katika mchezo…

Read More

MKWANJA MEZANI WAWEKWA NA CRDB BILIONI 3

SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) na Benki ya CRDB, wamesaini mkataba wa udhamini wa Kombe la Shirikisho ambapo awali lilikuwa linaitwa Azam Sports Federation sasa litakuwa ni CRDB Bank Federation Cup wenye thamani ya zaidi ya shilingi bilioni 3 kwa miaka mitatu na nusu Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF),…

Read More

KOCHA SIMBA KWENYE MTIHANA MZITO

KOCHA wa Simba, Abdelhak Benchikha yupo kwenye mtihani mzito kutokana na kutokuwa na washambuliaji wenye uwezo unaowapa nafasi kikosi cha kwanza kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika. Pia washambuliaji wa Simba hawajawa tegemeo kwenye mechi za ligi jambo ambalo limewafanya wasiwe chaguo la kwanza kwenye mechi za hivi karibuni ndani ya uwanja. Ikumbukwe kwamba washambuliaji waliopo…

Read More

YANGA YAKWEAA PIPA KUWAFUATA MAMELODI

KUELEKEA mchezo wa mkondo wa pili Mamelodi Sundowns dhidi ya Yanga, wawakilishi kutoka Tanzania Yanga wamewafuata wakiwa kamili gado. Kàtika mchezo uliochezwa Uwanja wa Mkapa ubao ulisoma Yanga 0-0 Mamelodi Sundowns hivyo dakika 90 za ugenini zitaamua nani atasonga mbele hatua ya nusu fainali Ligi ya Mabingwa Afrika. Kwenye msafara wa Yanga miongoni mwao ni…

Read More

Jumatatu ya Leo Pesa Zipo Meridianbet

Kampuni kubwa ya ubashiri Tanzania meridianbet inakwambia hivi wameshakuwekea machaguo uyapendayo na ODDS za kibabe hivyo kazi inabaki kwako wewe kusuka mkeka na kuchagua timu zako za ushindi sasa. Darubini yangu inaanza kumulika ligi kuu ya Italia SERIE A, ambapo hapa kutakuwa na mechi za kukata na shoka kabisa Cagliari atakiwasha dhidi ya Hellas Verona…

Read More

SERIKALI YAIPA TANO YANGA

NAIBU Waziri wa Utamaduni Sanaa na Michezo Hamis Mwinjuma amewapa tano viongozi wa Yanga kwa kuandaa usafiri wa basi kwa ajili ya mashabiki kuelekea Afrika Kusini. Yanga inatarajiwa kucheza mchezo wa mkondo wa pili wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Mamelodi Sundowns baada ya ule wa mkondo wa kwanza uliochezwa Uwanja wa Mkapa kutoshana…

Read More

SIMBA INAHITAJI WASHAMBULIAJI WA KAZI, KOCHA ATUMA UJUMBE

PENGINE mbinu ya kuanza bila ya mshambuliaji halisi kwenye mchezo dhidi ya Al Ahly ilitokana na washambuliaji waliopo ikiwa ni Michael Fred na Pa Jobe kushindwa kufikia matakwa ya Kocha. Kocha huyo wakati anaanza majukumu ndani ya Simba aliweka wazi kuwa hakuna mwenye uhakika namba kikosi cha kwanza ndio maana kuna nyakati Clatous Chama mbali…

Read More

NGOMA NI NZITO KIMATAIFA KETE ZA UGENINI

BAADA ya Machi 12 2024 droo ya Ligi ya Mabingwa Afrika kupangwa ambapo kila timu iliyokuwa hatua ya robo fainali ilipata fursa ya kutambua kigogo yupi atakutana naye ndani ya uwanja kwenye mchezo wa mkondo wa kwanza. Ipo wazi kwamba Simba kete yake ilikuwa dhidi ya Al Ahly ya Misri mchezo uliokuwa ukisubiriwa kwa shauku…

Read More

MWAMBA AUCHO YUPO FITI ANAPIGA MAZOEZI

KIUNGO wa kazi ndani ya Yanga Khalid Aucho mdogomdogo anazidi kurejea kwenye ubora wake akiendelea na mazoezi kwa ajili ya kuwa tayari kwa mechi za ushindani kitaifa na kimataifa. Nyota huyo alikosekana kwenye mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Mamelodi Sundowns kwa kuwa alikuwa hajafikia asilimia 100 ya kuwa tayari kwa mapambano kwenye…

Read More