Kendrick Lamar na Lady Gaga Wavunja Rekodi, Watawala Uteuzi wa Grammy 2026
Orodha ya uteuzi wa Tuzo za Grammy 2026 imetangazwa rasmi, na msanii maarufu Kendrick Lamar…
Orodha ya uteuzi wa Tuzo za Grammy 2026 imetangazwa rasmi, na msanii maarufu Kendrick Lamar ameongoza kwa kupata uteuzi wa vipengele tisa, akiendelea kuthibitisha nafasi yake kama mmoja wa sauti zenye ushawishi mkubwa zaidi katika muziki wa kizazi hiki. Akimfuatia kwa karibu, Lady Gaga amerejea kwa kishindo akiwa na uteuzi wa vipengele saba, sawa na…
Ukiwa na Meridianbet ni fursa kubwa kabisa ya wewe kutengeneza pesa nzuri kwani tayari wakali hawa wa ubashiri wamekuwekea machaguo uyapendayo na ODDS za kibabe. Unangoja nini?. Bashiri hapa. SERIE A kule Italia kuna mechi ya pesa pia kati ya Pisa vs Cremonese ambapo tofauti yao ni pointi 8 hadi sasa. Mwenyeji yupo nafasi ya…
LIGI Kuu Tanzania Bara inaendelea ikiwa leo Novemba 8,2025 Jumamosi ya kazikazi kwa wababe kushuka uwanjani kusaka ushindi. Kutakuwa na mechi kubwa mbili katika viwanja tofauti ni Dar na Mwanza ambao watakuwa wanashuhudia mechi za ushindani. Saa 10:00 jioni Pamba Jiji vs Singida Black Stars, itachezwa Uwanja wa CCM Kirumba, Mwanza. Kwenye msimamo wa ligi,…
Shirikisho la Soka Barani Afrika (CAF) limetangaza rasmi kuwa Tuzo za CAF 2025 zitafanyika mjini Rabat, Morocco siku ya Jumatano, Novemba 19, 2025. Kwa mujibu wa taarifa ya CAF, hafla hiyo ya kifahari itaanza saa 1 jioni kwa saa za Morocco (saa 3 usiku kwa saa za Cairo), katika ukumbi ambao bado haujatajwa. Tuzo hizo…
Meridianbet wanakupa sababu ya msimu huu wa Halloween kujaa furaha na msisimko wa kutosha kupitia mchezo wa kipekee wa Gates of Halloween, sloti iliyoundwa kukuletea hisia za msisimko na fursa za ushindi mkubwa kila unapozungusha. Kila mzunguko wa mchezo huu una alama za kipekee ambazo zinaweza kufungua zawadi za siri na kuzidisha ushindi wako kutoka…
Ukiwa na Meridianbet ni fursa kubwa kabisa ya wewe kutengeneza pesa nzuri kwani tayari wakali hawa wa ubashiri wamekuwekea machaguo uyapendayo na ODDS za kibabe. Unangoja nini?. Bashiri hapa. SERIE A kule Italia kuna mechi ya pesa pia kati ya Pisa vs Cremonese ambapo tofauti yao ni pointi 8 hadi sasa. Mwenyeji yupo nafasi ya…
JKT Tanzania vs Simba SC ni mchezo wa ligi unaofuata ikiwa ni msimu mpya wa 2025/26 kwa wababe wawili kusaka pointi tatu muhimu. Novemba 8,2025 kazi kubwa itafanyika kwa timu zote mbili kusaka pointi tatu Uwanja wa Mej Jenerali Isahmuyo. Katika mchezo uliopita msimu wa 2024/25, Simba SC ikiwa ugenini ilivuna pointi kwa ushindi wa…
Kimataifa Yanga SC hatua ya makundi mechi za nyumbani itatumia Uwanja wa New Amaan Complex ambazo ni tatu kwa msimu wa 2025/26. Hii hapa ratiba ya mechi za kimataifa kwawawakilishi hao wa Tanzania CAF Champions League:- Yanga SC vs AS FAR inatarajiwa kuchezwa Novemba 21,2025 JS Kabylie vs Yanga SC inatarajiwa kuchezwa Novemba 28,2025 Al…
NBC Premier League burudani inaendelea na Jumamosi, Novemba 8,2025 kutakuwa na mechi mbili kazi kwa wababe kusaka pointi tatu muhimu. Novemba 8, saa 10:00 jioni Pamba Jiji FC watakuwa Uwanja wa CCM Kirumba wakiwakaribisha Singida Black Stars ambao tayari wameshawasili Mwanza kwa kazi. Saa 1:00 usiku, JKT Tanzania watakuwa Uwanja wa Meja Jenerali Isamuhyo kumenyana…
Meridianbet wanakupa sababu ya msimu huu wa Halloween kujaa furaha na msisimko wa kutosha kupitia mchezo wa kipekee wa Gates of Halloween, sloti iliyoundwa kukuletea hisia za msisimko na fursa za ushindi mkubwa kila unapozungusha. Kila mzunguko wa mchezo huu una alama za kipekee ambazo zinaweza kufungua zawadi za siri na kuzidisha ushindi wako kutoka…
Kaimu Kocha Mkuu wa timu ya taifa ya Tanzania (Taifa Stars), Miguel Gamondi, ametangaza kikosi kitakachoingia kambini kuanzia Oktoba 10, kwa ajili ya maandalizi ya mchezo wa kirafiki wa kalenda ya FIFA dhidi ya Kuwait. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), mchezo huo wa kirafiki utafanyika Oktoba 14, katika mji…
CLEMENT Mzize mshambuliaji wa Yanga SC ataukosa mchezo ujao wa ligi dhidi ya KMC FC unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa KMC Complex. Nyota huyo anatarajiwa kuwa nje kwa muda wa wiki kati ya 8 mpaka 10 baada ya kufanyiwa upasuaji wa goti ambalo lilikuwa linamsumbua. Kutokana na hali ambayo anaendelea nayo kwa sasa ni wazi kwamba…
Burudani ya Ligi Kuu Tanzania Bara ambayo ni namba nne kwa ubora inarejea wikiendi hii. Sababu kubwa ya ligi kusitishwa kwa muda ilikuwa ni changamoto za kiuendeshaji zilizotokana na sababu za kiusalama na miongozo yake ni kwa mujibu wa taarifa rasmi iliyotolewa na Idara ya Habari na Mawasiliano Bodi ya Ligi Kuu Tanzania, (TPLB), Novemba…
Kwa dau dogo tuu leo hii unaweza kubadilisha maisha yako kwani ODDS KUBWA zipo Meridianbet. Mechi nyingi za Europa leo zipo kwaajili yako. Unangoja nini?. Suka jamvi lako hapa. OGC Nice atakuwa mwenyeji wa Freiburg ya Ufaransa huku nafasi ya kuondoka na ushindi akipewa yoyote kwani Odds za kibabe zipo kwenye mechi hii. Je nani…
Timu ya taifa ya Tanzania, Tafa Stars inayonolewa na Kaimu Kocha Mkuu, Miguel Gamondi inatarajiwa kucheza mchezo wa kirafiki dhidi ya Kuwait, Novemba 14, 2025 nchini Misri. Hiki hapa kikosi ambacho kimeitwa kipo namna hii:- Yakoub Suleiman (Simba SC) Hussein Masalanga (Singida Black Stars) Zuberi Foba (Azam FC) Bakari Nondo (Yanga SC) Shomari Kapombe (Simba…
Meridianbet, jukwaa linaloongoza kwa michezo ya kubashiri na kasino mtandaoni nchini Tanzania, limezindua promosheni mpya ya kusisimua kupitia mchezo wa Super Heli, ambapo wachezaji wanapata nafasi ya kipekee ya kujishindia simu nne mpya za kisasa za Samsung A26. Hii ni ofa ya aina yake ikiwapa wachezaji msisimko wa kipekee kila wanapocheza. Katika mchezo wa Super…
Dar es Salaam, Novemba 5, 2025 — Katibu Mtendaji wa Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA), Prof. Said A. Mohamed, ametangaza rasmi matokeo ya Mtihani wa Kumaliza Elimu ya Msingi (MTEM) 2025 katika hafla iliyofanyika leo Jijini Dar es Salaam. Taarifa hiyo inaonesha kuwa kati ya watahiniwa 1,146,164 waliojihusisha na mtihani huo, watahiniwa 937,581 sawa…