
SIMBA KWENYE HESABU NDEFU
WAKIWA na mchezo dhidi ya KMC unaotarajiwa kuchezwa Arusha Mei 25 2024 benchi la ufundi la timu hiyo limebainisha kuwa hesabu ni kupata matokeo kwenye mechi ambazo wanacheza. Juma Mgunda, Kocha Mkuu wa Simba ushindi wake mkubwa akiwa na timu hiyo ilikuwa mchezo dhidi ya Geita Gold walipopata ushindi wa mabao 4-1 baada ya dakika…