MGHANA WA SIMBA KUTAMBULISHWA YANGA

NYOTA Agustino Okra ambaye amecheza ndani ya kikosi cha Simba kabla ya kukutana na Thank You anatajwa kuwa kwenye hesabu za kutambulishwa ndani ya kikosi cha Yanga. Yanga inanolewa na Kocha Mkuu, Miguel Gamond ambapo ina mpango wa kuboresha kikosi hicho ili kuendelea kuwa kwenye ubora wake

Read More

CR KAFUNGA MWAKA KWA MABAO KIBAO

MAISHA yake kwa sasa ya soka ni Saudi Arabia katika Klabu ya Al Nassr inayoshiriki  Saudi Professional League. Ni Desemba 30, Al Nassr ilikipiga dhidi ya Al-Taawoun na kushinda mabao 4-1, kwenye mchezo wa ligi. Katika ushindi huo wa Al Nassr, Ronaldo yeye alitupia bao moja dakika za lala salama kwa mpira wa kichwa. Bao…

Read More

MEDDIE KAGERE NA UJUMBE WAKE MAPINDUZI CUP

FULANA ya Meddie Kagere mshambuliaji wa zamani wa Simba na Gor Mahia imezua gumzo kutokana na ujumbe wake ambao uliandikwa wakati akishangilia. Ni kwenye Mapinduzi Cup 2023  ambapo mambo yanazidi kuwa katika ubora baada ya wanafainali 2022 kupata ushindi katika mchezo wao dhidi ya JKU SC. Baada ya dakika 90 ubao ulisoma JKU SC 1-4…

Read More

REBECCA REFA MWENYE REKODI YAKE EPL

REBECCA Welch, ameweka rekodi ya kuwa mwamuzi wa kwanza mwanamke kuchezesha mechi ya Premier League, alifanya hivyo katika mchezo baina ya Fulham dhidi ya Burnley, Jumamosi iliyopita. Welch kwa muda mrefu amekuwa akijihusisha na soka la wanaume, ambapo kwanza aliweka rekodi ya kuwa mwamuzi wa kwanza wa kike kuchezesha mechi ya EFL, Aprili 2021, kisha…

Read More

YANGA KUMSHUSHA MGHANA

INAELEZWA kuwa Yanga ipo kwenye hesabu za kuinasa saini ya winga Mghana Augustino Okra ambaye ni winga. Nyota huyo anatajwa kuwa kwenye hesabu za mwisho kumalizana na mabosi hao kwa ajili ya kuanza changamoto mpya. Okra aliwahi kucheza ndani ya kikosi cha Simba alikwama kuonyesha uwezo wake kwa wakati huo mpaka alipokutana na Thank You….

Read More

STRAIKA MCOLOMBIA MLANGONI SIMBA

IMEELEZWA kuwa Simba muda wowote watakamilisha usajili wa mshambuliaji wa Klabu ya Comerciantes FC, Mauricio Cortes raia wa Colombia. Simba imepanga kukifanyia maboresho makubwa kikosi chao, kati ya hayo ni safu ya ushambuliaji ambayo Kocha Mkuu wa timu hiyo, Abdelhak Benchikha amependekeza usajili huo. Safu hiyo ya ushambuliaji hivi sasa inaongozwa na John Bocco, Jean…

Read More

SANKARA APIGA SIMU YANGA

MSHAMBULIAJI wa Asec Mimosas, Karamoko Sankara hatimaye amefunguka dili lake na Yanga huku akisema kuwa amekuwa akiwapigia simu wachezaji wa sasa wa Yanga, Pacome Zouzoua na Kouassi Attohoula Yao ambao ni marafiki zake. Sankara amekuwa akihusishwa kwa muda sasa kutakiwa na Yanga huku msimu huu katika Ligi ya Mabingwa Afrika akiwa amefanikiwa kufunga mabao 4…

Read More

CHAMPIONSHIP KINAPIGIKA LEO NA MKWANJA NI WAKUTOSHA

Ligi daraja la pili nchini Uingereza maarufu kama Championship itaendelea ijumaa ya leo na michezo mbalimbali itakwenda kupigwa katika viwanja tofauti tofauti, Huku mteja wa Meridianbet ukiwa na nafasi ya kujipigia mkwanja wako wa kutosha. Kuhakikisha kua kipindi hichi cha sikukuu wateja wa Meridianbet hawakai kinyonge mabingwa hao wa michezo ya kubashiri wamekua wakimwaga Odds…

Read More

SIMBA KUSHUSHA MKATA UMEME WA KAZI

UONGOZI wa Simba umebainisha kuwa kwenye mpango wa usajili utaongeza mkata umeme wa kazi mithili ya Fabrince Ngoma ili kuongeza uimara kwenye timu hiyo. Ipo wazi kwamba Simba kwa msimu wa 2023/24 haijawa bora kwenye eneo la ulinzi na ushambuliaji huku eneo la ukabaji ikiwa na wachezaji wa kazi kama Fabrince Ngoma, Sadio Kanoute na…

Read More

YANGA YAJIVUNIA JEMBE HILI LA KAZI

UONGOZI wa Yanga umeweka wazi kuwa una kila sababu za kujivunia uwepo wa wachezaji wao wote wanaofanya kazi kwa ushirikiano ikiwa ni pamoja na kiungo Aziz KI. Ikumbukwe kwamba Aziz KI ni namba moja kwenye utupiaji ndani ya ligi akiwa na mabao 10 kibindoni sawa na namba ya jezi yake pendwa mgongoni akiwa uwanjani kutimiza…

Read More