Home Sports MGHANA WA SIMBA KUTAMBULISHWA YANGA

MGHANA WA SIMBA KUTAMBULISHWA YANGA

NYOTA Agustino Okra ambaye amecheza ndani ya kikosi cha Simba kabla ya kukutana na Thank You anatajwa kuwa kwenye hesabu za kutambulishwa ndani ya kikosi cha Yanga. Yanga inanolewa na Kocha Mkuu, Miguel Gamond ambapo ina mpango wa kuboresha kikosi hicho ili kuendelea kuwa kwenye ubora wake

Previous articleCR KAFUNGA MWAKA KWA MABAO KIBAO
Next articleNYOTA SIMBA AGOMEA MKATABA