OKRA KUANZA KAZI RASMI YANGA
BAADA ya kukamilisha usajili wa winga Mghana, Augustine Okra leo anatarajiwa kuwa sehemu ya kikosi kitakachoanza kucheza kwenye mchezo wa Kombe la Mapinduzi 2024. Okra alizua gumzo kwenye mchezo wa funga mwaka 2023 kwa Yanga dhidi ya Jamhuri ambapo baada ya dakika 90 ubao wa Uwanja wa Amaan ulisoma Jamhuri 0-5 Yanga. Leo Yanga inatarajiwa…