MSIMU wa 2023/24 umekuwa na kasi kubwa ya ushindani uwanjani ambapo timu nyingi zina rekodi yake. Simba kwenye upande wa ulinzi mambo bado ni magumu huku Yanga wakionekana kuwa imara. Mbali na hizo zipo timu nyingine ambazo ziliruhusu ukuta wao kutunguliwa mabao mengi.