Home Sports MAELEKEZO YA MKWANJA BADO YAPO MERIDIANBET JUMAMOSI HII

MAELEKEZO YA MKWANJA BADO YAPO MERIDIANBET JUMAMOSI HII

Kama unataka kupiga mkwanja usikubali kona kona sehemu ya kupiga mkwanja ni moja tu ni kwa wale mabingwa kabisa wa michezo ya kubashiri kampuni ya Meridianbet ambao wanatoa ODDS KUBWA na za kibabe.

Michezo mbalimbali ya ligi kuu ya Uingereza itapigwa leo katika viwanja tofauti tofauti na hii itakua fursa kwa wewe mteja wa Meridianbet kupiga mkwanja kutokana na Odds ambazo wataalamu hao wa michezo ya kubashiri wamekua wakimwaga.

Pia kumbuka kuna kucheza JACKPOT ya Meridianbet ambayo inakufanya ushinde shilingi Milioni Mia Mbili, 200,000,000 kwa dau lako la shilingi 1000 pekee ukibashiri kwa usahihi mechi zako 13. Nafasi ni yako ingia www.meridianbet.co.tz na uweke mkeka wako.

Manchester United baada ya kupindua meza kibabe katika mchezo uliopita dhidi ya klabu ya Aston Villa, Leo watashuka dimbani tena kwenda kukipiga dhidi ya klabu ya Nottingham Forest ambao nao wapo kwenye fomu ya hali ya juu kwasasa.

Klabu ya Chelsea ambayo imetoka kushinda mchezo wake uliopita leo watakua ugenini kukipiga na klabu ya Luton Town ambao wameonekana kufufuka na kufanya vizuri hivi karibuni, Hivo mchezo huu unatarajiwa kua mkali na wenye mvuto mkubwa.

Manchester City leo watakua nyumbani kukipiga dhidi ya klabu ya Sheffield United baada ya kufanikiwa kupata ushindi katika mchezo uliopita dhidi ya Everton ikiwa ni baada ya kupitia kipindi kigumu kidogo katika ligi kuu ya Uingereza leo watakua pale Etihad kuzisaka alama zingine tatu dhidi ya Sheffield.

Aston Villa wakiwa wmaetoka kupoteza mchezo wao uliopita dhidi ya Manchester United katika dimba la Old Trafford, Leo watakua nyumbani katika dimba lao la Villa Park kuikaribisha klabu ya Burnley na kuangalia uwezekano wa kurudi kwenye njia ya ushindi.

Klabu ya Wolves wakiwa wametoka kutoa adhabu kali kwa klabu ya Brentford katika mchezo wao uliopita, Leo watakua nyumbani katika dimba la Molineux kukipiga na Everton ambayo imetoka kujeruhiwa mchezo uliopita.

Michezo yote ambayo inakwenda kupigwa leo katika ligi kuu ya Uingereza leo Meridianbet wamehakikisha inawekewa ODDS KUBWA ili wateja wake waweze kujipigia mkwanja katika msimu huu wa sikukuu.

Pia kumbuka kuna kucheza JACKPOT ya Meridianbet ambayo inakufanya ushinde shilingi Milioni Mia Mbili, 200,000,000 kwa dau lako la shilingi 1000 pekee

ukibashiri kwa usahihi mechi zako 13. Nafasi ni yako ingia www.meridianbet.co.tz na uweke mkeka wako.

Previous articleMEDDIE KAGERE NA UJUMBE WAKE MAPINDUZI CUP
Next articleCR KAFUNGA MWAKA KWA MABAO KIBAO