
KUNA WINGA YANGA ALITISHIWA KUROGWA
MJUE winga ambaye alitishiwa kurogwa ndani ya Yanga kisa Simba, yote haya ni ndani ya Championi Jumamosi.
MJUE winga ambaye alitishiwa kurogwa ndani ya Yanga kisa Simba, yote haya ni ndani ya Championi Jumamosi.
MASTAA 14 ndani ya kikosi cha Yanga, wapo kwenye hesabu za kufyekwa kwa ajili ya kukiboresha kikosi hicho kuelekea msimu ujao wa 2022/23. Msemaji wa Yanga, Haji Manara, alisema kuwa usajili wa msimu ujao utakuwa ni mkubwa na wenye kuzingatia ripoti ya benchi la ufundi. “Tuna malengo makubwa na tunajua wapi ambapo tulishindwa msimu huu…
BAADA tetesi nyingi kuzagaa za kiungo Mrundi, Saidi Ntibanzokiza ‘Saido’ kutua Simba, uongozi wa timu hiyo umeibuka na kutamka hauna mpango wa kumsajili. Hiyo ikiwa ni siku chache tangu Yanga itangaze kutomuongezea mkataba kiungo uliomalizika Juni 30, mwaka huu. Mmoja wa mabosi wa Simba, amesema kuwa, ngumu kwao kumsajili mchezaji ambaye ameachwa na timu yake…
MWENDO ambao unaendelea kwa sasa kwenye ligi ni lazima kila mmoja aweze kupambania kile ambacho anakitaka kwa kuwa hakuna timu inayokubali kufungwa. Kila mechi inayochezwa imekuwa na ushindani mkubwa na hili ni jambo la muhimu kwa kila mmoja kukubali kile ambacho kinatokea. Ikitokea timu ikafungwa kwa makosa yao basi inapaswa kukubali hali halisi kwamba imepoteza…
COASTAL Union 0-0 Azam FC, mshindi atapatikana kwa mikwaju ya penalti Uwanja wa Sheikh Amri Aeid Karume,Arusha. Dakika 120 zimekamilika bila timu hizi kufungana. Hivyo mshindi atapatikana kwa mikwaju ya penalti ili aweze kutinga hatua ya fainali. Ni Yanga wametangulia hatua ya fainali inayotarajiwa kucezwa Julai 2,2022.
LEO ni nusu fainali ya Kombe la Shirikisho ambapo watani wa jadi Yanga na Simba wanatarajiwa kumenyana kwenye mchezo unaosubiriwa kwa shauku kubwa. Hamna namna mshindi lazima apatikane na tunajua kwamba kila timu imefanya maandalizi vizuri kwa ajili ya mchezo huu muhimu. Atakayeshinda leo anauhakika wa kucheza fainali na huko pia ni muhimu kila mmoja…
WAKATI leo nyota wawili wa Yanga, Said Ntibanzokiza na Dickson Ambundo wakitarajiwa kuukosa mchezo wa nusu fainali dhidi ya Simba mikoba yao inatarajiwa kuwa mikononi mwa Jesus Moloko. Ni kwenye suala la mapigo ya mipira huru hasa kona ambapo kwenye mechi za hivi karibuni ni Ntibanzokiza alikuwa akitumika mara kwa mara na Ambundo kidogo. Kwenye…
KIJANA Florian Valerian Massawe mshindi wa JACKPOT ya SportPesa ya shilingi 1,255,316,060 (bilioni 1.25) leo Mei 25 ameweka wazi mipango yake. Katika mahojiano maalum na Global Radio kwenye kipindi cha Krosi Dongo, Massawe amesema mpango wake mkubwa kwa sasa ni kuweza kuwekeza kwenye masuala ya Garage kwa kuwa yeye ni fundi na hana mpango wa…
KATIBU Mkuu wa TFF Kidao Wilfred anaamini kwamba safari ya kufuzu Kombe la Dunia licha ya Timu ya Taifa Wasichana U17 Serengeti Girls kushinda mabao 4-1 mbele ya Cameroon huko Yaoundé, Cameroon bado haijaisha. Vijana hao wana kazi ya kucheza mchezo wa marudio Uwanja wa Mkapa ili kuweza kukata tiketi ya kufuzu Kombe la Dunia.
KOCHA Mkuu wa Timu ya Taifa ya Wasichana U17 Serengeti Girls, Bakari Shime amesema kuwa wapo tayari kwa ajili ya mchezo wa leo wa kuwania tiketi ya kufuzu Kombe la Dunia dhidi ya Cameroon. Shime amebainisha kwamba wanatambua uimara wa wapinzani wao hasa kutokana na mafanikio ambayo wameyapata lakini hilo haliwapi tabu kwa kuwa kwenye…
KUMEKUCHA kwa wawakilishi wa Tanzania, Timu ya Taifa ya Tanzania ya Wanawake, U 17 kuweza kuwakilisha nchi kwenye mchezo wa kuwania kufuzu Kombe la Dunia. Maandalizi ambayo walianza kuyafanya awali kabla ya mchezo inaonesha kulikuwa na mpango wa kupata ushindi kwenye mchezo ujao ambao utakuwa na ushindani mkubwa. Kikubwa kwa vijana hawa ambao wanaiwakilisha Tanzania…
HAJI Manara, Ofisa Habari wa Yanga amesema sare tatu mfululizo ambazo walizpata kwenye Ligi Kuu Bara ziliwatingisha kidogo na kuwatetemesha
MUONEKANO wa ukurasa wa mbele gazeti la Spoti Xtra Jumanne
BAADA ya Yanga kushinda jana mbele ya Dodoma Jiji kwa ushindi wa mabao 2-0 Uwanja wa Jamhuri, Dodoma na kufikisha pointi 60, Nasreddine Nabi ameweka wazi kuwa wataendelea kufanya vizuri. Kwa upande wa mshambuliaji mwenye mabao 12 na pasi tatu za mabao, Fiston Mayele ameweka wazi kwamba muda wa kutetema unakuja.
VINARA wa Ligi Kuu Tanzania Bara Yanga wamekamilisha dk 45 za mwanzo wakiwa mbele kwa mabao 2-0 dhidi ya Dodoma Jiji, kwenye mchezo wa mzunguko wa pili. Kasi ilianza ndani ya dakika 10 za mwanzo ambapo presha ilikuwa kubwa na Yanga ikapachika bao la kuongoza dk ya 11 kupitia kwa Dickosn Ambundo. Winga huyo ambaye…
BAADA ya msoto wa kuambulia sare kwenye mechi tatu mfululizo,wachezaji wa kikosi cha Yanga kinachonolewa na Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi wameweka wazi kwamba hawajapenda kupata sare. Yanga ilianza kuambulia sare mbele ya Simba ilikuwa Aprili 30 kisha ngoma ikawa Ruvu Shooting 0-0 Yanga na kigogo cha tatu ilikuwa ni Yanga 0-0 Tanzania Prisons. Aboutwalib Mshery,kipa…
UONGOZI wa Yanga umeweka wazi kwamba mshambuliaji wao Fiston Mayele kwa sasa hesabu zake ni kuweza kufunga mabao zaidi baada ya kukosa penalti mbele ya Tanzania Prisons. Ilikuwa Mei 9,2022 Uwanja wa Mkapa Mayele aliweza kukosa penalti hiyo kwenye mchezo wa ligi na ni penalti ya kwanza kwa Yanga kukosa. Fredrick Mwakalebela, Makamu Mwenyekiti wa…