MWAMUZI WA KADI NYEKUNDU, TUTA, KUAMUA YANGA V SIMBA

WATANI wa jadi Yanga na Simba wapo kwenye mtihani mzito kutokana na kupewa mwamuzi mwenye rekodi ya kutoa kadi za njano, nyekundu pamoja na penalti kwenye mechi ambazo alikuwa kati. Leo Uwanja wa Mkapa ulimwengu utashuhudia Kariakoo Dabi ambapo tayari waamuzi wameshatangazwa ikiwa ni pamoja na Ramadhan Kayoko atakayekuwa mwamuzi wakati. Rekodi zinaonyesha kuwa Oktoba…

Read More

MABEKI YANGA KUMKAZIA MOSES PHIRI KWA MKAPA

MABEKI wa Yanga wameweka wazi kuwa hawatakubali kufanya makosa na kuwaruhusu washambuliaji wa Simba wakiongozwa na Moses Phiri kupata nafasi ya kuwafunga. Simba kwa sasa wanatamba na ubora wa mshambuliaji wao Moses Phiri ambaye ameifungia timu hiyo mabao 4 katika michezo 5 ya ligi kuu msimu huu, jambo ambalo ni tishio kuelekea mchezo wa leo…

Read More

SIMBA WABAINISHA WAMECHOKA KUFUNGWA NA YANGA

UONGOZI wa Klabu ya Simba, umekiri kuwa umechoka kufungwa na Yanga, na safari hii watapambana kuhakikisha kuwa wanaibuka na ushindi katika mchezo wa ligi kuu leo Jumapili kwenye Uwanja wa Mkapa, Dar. Simba wameshindwa kupata matokeo katika michezo minne iliyopita ambayo walikutana na Yanga, wakiambulia sare mbili na vipigo viwili, mmoja wakipoteza katika nusu fainali…

Read More

SERENGETI GIRLS WAPAMBANAJI WANASTAHILI PONGEZI

TIMU ya Taifa ya Wasichana ya Tanzania chini ya miaka 17, Serengeti Girls, jana Jumamosi iliyaaga mashindano ya Kombe la Dunia Wanawake U17 baada ya kuchapwa mabao 3-0 dhidi ya Colombia, lakini wametuhesimisha Watanzania. Kikosi hicho cha Bakari Shime, kilimaliza mechi hiyo ya robo fainali kikiwa tisa uwanjani kufuatia wachezaji wawili kuonyeshwa kadi nyekundu. Alianza…

Read More

ZIMBWE:TUTACHEZA KWA USHIRIKIANO, MASHABIKI WAJITOKEZE

MOHAMED Hussein Zimbwe Jr, nahodha wa Simba amesema kuwa hawataangalia mchezaji mmoja kwenye kukaba bali kila mchezaji atatimiza majukumu yake kwa ushirikiano. Akijibu swali la mwandishi wa habari alipoulizwa kuhusu safu ya ulinzi kumtolea macho mshambuliaji Fiston Mayele wanapokutana amesema kuwa wanafanya kazi kwa kushirikiana. Kesho Oktoba 23,2022 Simba inatarajiwa kumenyana na Yanga kwenye mchezo…

Read More

SIKU MBAYA KAZINI AZAM FC,KAGERA SUGAR

LICHA ya bao la kusawazisha ambalo lilifungwa na Idris Mbombo wa Azam FC dakika ya 18 bado pira kodi lilisepa na pointi tatu mazima. Ni kwenye mchezo wa ligi uliochezwa Uwanja wa Uhuru baada ya dakika 90 ubao umesoma KMC 2-1 Azam FC. Nyota wa KMC, Nzigamasab Styve alifunga bao la kuongoza dakika ya 15…

Read More

ISHU YA NABI KUTIMULIWA YANGA IPO HIVI

UONGOZI wa Yanga umeweka wazi kuwa hauna mpango wa kumfuta kazi Kocha Mkuu Nasreddine Nabi kwa kuwa bado wanamtambua kuwa ni kocha wa timu hiyo. Imekuwa ikielezwa kuwa kwa kushindwa kuipeleka Yanga hatua ya Makundi Ligi ya Mabingwa Afrika ni sababu ya kocha huyo kuwa kwenye mtego wa kutimuliwa. Ofisa Habari wa Yanga, Ally Kamwe…

Read More

MAYELE ANAFUKUZIA KIATU CHA UFUNGAJI BORA

FISTON Mayele ametupia mabao matatu ndani ya ligi akiwa sawa na mzawa Feisal Salum. Nyota huyo anawania kiatu cha ufungaji bora ambacho alipishana nacho msimu wa 2021/22 kilipobebwa na mzawa George Mpole. Mayele alitupia mabao 16 kwenye ligi msimu uliopita huku Mpole akitupia mabao 17 na wote walitoa pasi nne za mabao. Ni dakika ya…

Read More

LIVERPOOL YAKOMBA POINTI TATU ZA CITY

MOHAMED Salah mshambuliaji wa Liverpool amefunga bao pekee la ushindi kwenye mchezo wa Ligi Kuu England dhidi ya Man City. Ni bonge moja ya mchezo uliokuwa na ushindani mkubwa ambapo dakika 45 vigogo hao walikamilisha bila kufungana. Salah alipachika bao hilo dakika ya 76 lilitosha kuipa pointi tatu muhimu Liverpool. Sasa ni pointi 13 wanafikisha…

Read More

MAYELE:MSITUKATIE TAMAA INAWEZEKANA

MSHAMBULIAJI wa Yanga, Fiston Kalala Mayele amewataka mashabiki wa timu hiyo kutokata tamaa kwani bado wanayo nafasi nzuri ya kufanya vizuri wakiwa ugenini. Nyota huyo amewaomba mashabiki wasiwakatie tamaa kwa kuwa bado wana nafasi ya kufanya vizuri kwenye mechi ya leo ambayo ni ya marudio. Yanga wameshindwa kutamba katika mchezo wao wa kwanza wa Ligi…

Read More

YANGA WABANISHA UGUMU KUWAKABILI AL HILAL

ALLY Kamwe, Ofisa Habari wa Yanga amesema kuwa wapo tayari kwa ajili ya mchezo wao wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Al Hilal. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa kesho Oktoba 16,2022 baada ya ule wa kwanza uliochezwa Uwanja wa Mkapa ubao kusoma Yanga 1-1 Al Hilal. Alfajiri ya leo Oktoba 15,2022 kikosi cha Yanga kinachonolewa…

Read More

KLOPP AMSHUTUMU KOCHA MKUU ARSENAL

 JURGEN Klopp, Kocha Mkuu wa Liverpool amemshutumu Kocha Mkuu wa Arsenal, Mikel Arteta kwa kumpa presha mwamuzi wa mchezo huo Michael Oliver. Jumapili Arsenal ilifanikiwa kushinda mabao 3-2 dhidi ya Liverpool kwenye mchezo wa Ligi Kuu England Uwanja wa Emirates. Penalti ya staa Bukayo Saka ambayo ilizua utata na ilileta bao la tatu kwa Arsenal…

Read More