
ISHU YA AZAM FC NA KITAYOSCE UFAFANUZI WAKE UPO HIVI
KUFUATIA mchezo wa Ligi Kuu Bara kati ya Azam FC dhidi ya Kitayosce ya Tabora kutokamilika dakika 90 uongozi wa Bodi ya Ligi Tanzania umetolea ufafanuzi suala hilo. Ni Yanga wao walitwaa taji la ligi msimu wa 2022/23 wana kazi ya kutetea taji hilo kwa msimu mpya wa 2023/24. Mchezo wa kwanza kwa Yanga inayonolewa…