MUONEKANO WA UKURASA WA MBELE GAZETI LA SPOTI XTRA JUMAPILI
Muonekano wa gazeti la Spoti Xtra Jumapili lipo mtaani nakala yake ni 500.
Muonekano wa gazeti la Spoti Xtra Jumapili lipo mtaani nakala yake ni 500.
KLABU ya Simba leo Novemba 6 imemtangaza rasmi Pablo Franco mwenye miaka 41 kuwa mrithi wa mikoba ya Didier Gomes ambaye alibwaga manyanga kutokana na timu hiyo kutolewa kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika. Franco ni raia wa Hispania anachukua mikoba ya Gomes ambaye ni raia wa Ufaransa na alisitisha mkataba wake kwa makubaliano ya pande…
KLABU ya Yanga imepigwa faini ya shilingi laki tano kwa kosa la kuwakilishwa na maofisa wanne badala ya watano katika kikao cha maandalizi ya mchezo huo uliofanyika Uwanja wa Mkapa. Mkutano huo kwa mujibu wa taarifa imeeleza kuwa ulifanyika Novemba 2, Uwanja wa Mkapa. Adhabu hiyo imetolewa kwa kwa uzingativu wa kanuni ya 17,(2) na…
BEKI wa Simba, Henoc Baka amefungiwa mechi tatu kwa kosa la kumpiga kichwa mchezaji wa Coastal Union kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara uliochezwa Uwanja wa Mkapa. Kutokana na kitendo hicho beki huyo alionyeshwa kadi nyekundu ya moja kwa moja na kumfanya akose mchezo wa Simba uliofuata dhidi ya Namungo FC. Mbali na adhabu ya…
KAIMU Kocha Mkuu wa Simba, Hitimana Thierry, amefunguka kuwa kasi waliyoanza nayo wapinzani wao, Yanga na mabao wanayofunga, imekuwa ikiwaongezea presha kubwa ya kuhakikisha wanapata matokeo katika mechi zao.Simba imepoteza pointi nne katika mechi tano ilizocheza, ikiwa imeshinda tatu na sare mbili. Ilianza kwa suluhu dhidi ya Biashara United kabla ya kuifunga Dodoma Jiji bao 1-0, kisha ikaifunga Polisi Tanzania bao 1-0, halafu ikasuluhu na Coastal Union kabla ya kuichapa Namungo…
NI moja ya Uwanja mkubwa Afrika Mashariki na kati na una mitambo ya kisasa ambayo inamwaga maji kwenye nyasi asili ikiwa ni kama mbele vile hali halisi ipo namna hii .
MASHABIKI wa Simba furaha yao inabebwa na ushindi kwa namna yoyote ile licha ya kuwa kwenye mwendo wa maumivu ya kutolewa kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika. Hili hapa ni shangwe lao cheki namna ilivyo:-
KIUNGO bora wa zamani wa Simba, Clatous Chama anatajwa kurudi tena Bongo huku timu mbili za Kariakoo, Simba na Yanga zikitajwa kuwania saini yake. Chama msimu wa 2020/21 alikuwa kwenye kikosi bora cha msimu na pia alitwaa tuzo ya kiungo bora ikumbukwe pia kwa msimu wa 2019/20 alitwaa tuzo ya kiungo bora pamoja na mchezaji…
MIFUMO ya kocha Simba ya ujao,Simba yampa Mayele milioni 200 ndani ya Championi Jumamosi
BAO la mshambuliaji wa Simba Meddie Kagere lililowapoteza Namungo FC kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara lilimfanya Kocha Mkuu wa Namungo FC, Hemed Morocco kuzungumza kizungu kuonesha msisitizo kwamba waliumia kupoteza mchezo huo. Mara baada ya mchezo kukamilika na ubao wa Uwanja wa Mkapa kusoma Simba 1-0 Namungo, wachezaji wote wa Namungo juzi walianguka chini…
NAHODHA wa Yanga, Bakari Mwamnyeto, amefunguka kuwa kwa sasa nyota wa kikosi hicho wanafurahia zaidi mfumo wa soka la pasi nyingi, ambao unafundishwa na kocha mkuu Nasrredine Nabi, kulinganisha na utamaduni wao wa awali wa kutumia mipira mirefu. Tangu msimu huu umeanza kocha Nabi anaonekana kufanikiwa kwa kiasi kikubwa kuibadilisha Yanga ambayo sasa inacheza mpira wa pasi nyingi, tofauti na hapo awali ambapo walikuwa wakitumia mipira mirefu. …
WAKATI Ligi Kuu Bara ikiwa imesimama kwa takribani wiki mbili, Bodi ya Wakurugenzi ya Simba, imepanga kutumia muda huo kushusha kocha mpya wa kuinoa timu hiyo ambayo pia inajiandaa na mchezo wa Kombe laShirikisho Afrika dhidi ya Red Arrows ya Zambia. Novemba 28, mwaka huu, Simba itavaana na Red Arrows kwenye Uwanja wa Mkapa, Dar, ukiwa mchezo wa kwanza wa mtoano kusaka nafasi ya kwenda makundi ya michuanohiyo, kabla…
HASSAN Dilunga kiungo wa wa Wekundu wa Msimbazi, Simba amechaguliwa kuwa Mchezaji Bora wa Mashabiki wa mwezi Oktoba inayodhaminiwa na Emirates Aluminium ACP kwa kuwashinda Sadio Kanoute na Rally Bwalya aliokuwa nao fainali. Kwa mwezi Oktoba, Dilunga amekuwa ni chaguo la kwanza kwenye mechi za Ligi Kuu Bara na alianza pia kwenye mchezo walionyooshwa…
OFISA wa Yanga, Haji Manara amechagua kikosi bora kwa msimu wa 2021/22 baada ya timu zote kucheza jumla ya mechi tano. Uzuri ni kwamba haya ni maoni ya Manara yeye mwenyewe lakini ajabu ni kwamba kwenye kikosi hicho hakuna mchezaji mmoja kutoka kikosi cha Simba ambacho msimu uliopita wa 2020/21 alikuwa anataja kuwa ni kikosi…
IKIWA kwa sasa ipo chini ya Kaimu Kocha Mkuu, Hitimana Thiery na msaidizi wake Seleman Matola timu ya Simba imekamilisha dakika 450 za jasho jingi uwanjani huku ikiwa kwenye mwendo wa kushinda bao mojamoja kwenye mechi zake ilizoshinda. Simba ni mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Bara na msimu wa 2021/22 wanapata upinzani wa maana kutoka…
ZAWADI zimeendelea kutolewa kwa washindi wa Jacpot bonus ya SportPesa wiki ambapo washindi wawili wametangazwa kusepa na mamilioni hayo baada ya kubashiri vizuri. Ni Mjuane Ally Mkumba mkazi wa Dar pamoja na Josep Mustaoha Joseph naye pia kutoka Dar. Mshindi wa Jackpot bonus Joseph Mustaoha Joseph kutoka Tegeta, Dar es Salaam akishikilia mfano wa hundi…
BAADA ya Mshambuliaji wa Yanga, Heritier Makambo kushindwa kuanza katika mchezo hata mmoja kikosini hapo msimu huu, kocha wa timu hiyo, Nasreddine Nabi ameweka wazi sababu za nyota huyo kushindwa kupenya kikosi cha kwanza. Makambo tangu atue Yanga msimu huu, ameshindwa kupenya katika kikosi cha kwanza katika michezo mitano ya ligi kuu, huku akimuacha Fiston Mayele akitamba. Akizungumza na Spoti Xtra, Kocha Nabi alisema sababu kubwa ya Makambo kushindwa kucheza ni kutokana…