KIKOSI CHA KAGERA SUGAR V SIMBA

KAGERA Sugar leo inashuka Uwanja wa Kaitaba kusaka ushindi mbele ya Simba ambao ni wa Ligi Kuu Tanzania Bara. Hiki hapa kikosi cha kwanza:- Said Kipao Dick Mhilu David Luhende Abdalah Mfuko Nassoro Kapama Yusufu Dunia Ally Ramadhan Jackson Kibirige Hassan Mwaterema Ally Nassoro Meshack Abraham

Read More

BOCCO,KAGERE WAANZIA BENCHI DHIDI YA KAGERA SUGAR

LEO Januari 26, Uwanja wa Kaiataba unatarajiwa kuchezwa mchezo wa Ligi Kuu Bara kati ya Kagera Sugar dhidi ya Simba ambapo washambuliaji wote leo wamewekwa benchi na Kocha Mkuu, Pablo Franco. John Bocco na Meddie Kagere pamoja na Yusuf Mhilu hawa wote wameanza kusoma mchezo nje na ndani ni viungo na mabeki wameanza. Hiki hapa…

Read More

MTIBWA SUGAR:TUNA BAJETI YA MIAKA 40

THOBIAS Kifaru,Ofisa Habari mwenye uwezo mkubwa wa kuzungumza na nidhamu kubwa katika kazi yake ameweka wazi kwamba timu hiyo ina bajeti ya kujiendesha kwa muda wa miaka 40. Mtibwa Sugar kwa sasa inatumia Uwanja wa Manungu ambao ulikuwa umefungiwa kwa muda ili kuweza kufanyiwa maboresho na kwa sasa tayari umeruhisiwa kutumika. Mchezo uliopita Mtibwa Sugar…

Read More

SIMBA INA MATUMAINI NA KUTWAA UBINGWA

MTENDAJI wa Klabu ya Simba, Barbara Gonzalez, amesisitiza kuwa ishu ya nani atakuwa bingwa wa ligi kuu msimu huu, ipo wazi kwamba Simba ndiyo watachukua tena kombe. Barbara amefunguka kuwa, msimu huu wanakutana na changamoto nyingi ambazo anaamini zinatengenezwa makusudi ili kuwakwamisha Simba, ila wanataka kuonyesha watu kuwa Simba ni timu kubwa haswaambayo ikitaka jambo lake lazima lifanikiwe. Akizungumzia ugumu wa ligi msimu huu, Barbara alikiri kuwepo kwa ushindani zaidi…

Read More

KOCHA AZAM FC ATOA NENO HILI LA MATUMAINI

ABDI Hamid Moallin amesema kuwa mashabiki wa Azam FC watajivunia kitu kizuri na bora kutoka kwake baada ya kukabidhiwa rasmi timu hiyo iliyo nafasi ya nne kwenye msimamo wa Ligi Kuu Tanzania Bara na pointi zake 21. Moallin amesaini dili la miaka mitatu Jana Januari 25 ambapo awali alikuwa ni Kaimu Kocha Mkuu baada ya…

Read More

LEO, UWANJA WA KAITABA NI KAGERA SUGAR V SIMBA

UWANJA wa Kaitaba leo Januari 26 mchezo wa Ligi Kuu Bara kati ya Kagera Sugar inayonolewa na Kocha Mkuu Francis Baraza unatarajiwa kuchezwa dhidi ya Simba. Simba inanolewa na Kocha Mkuu, Pablo Franco ambaye ameweka wazi kwamba anahitaji pointi tatu muhimu. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa saa 10:00 jioni Uwanja wa Kaitaba,Kagera. Kwenye msimamo Kagera Sugar…

Read More

KISA KUVULIWA UBINGWA,MWAKINYO ASEMA NI WIVU TU

BAADA ya Shirikisho la Ngumi za Kulipwa Duniani (WBF), kuwavua mikanda yao ya ubingwa wa Intercontinetal, Hassan Mwakinyo na Ibrahim Class, hatimaye bondia Hassan Mwakinyo ameibuka na kuvunja ukimya kwa kusema kuwa yeye na uongozi wake haujui chochote zaidi ya kudai kuonewa wivu. Mwakinyo ametoa kauli hiyo kufuatia WBF kuwavua mkanda ya ubingwa huo, kwa kuzingatia kanuni inayotamka kuwa bondia akishindwa kutetea ubingwa wake ndani ya miezi sita tangu aupate, basi atavuliwa. Rais wa…

Read More

PABLO:TUTACHEZA KWENYE UWANJA AMBAO TUNAWEZA KUCHEZA

PABLO Franco, Kocha Mkuu wa Simba amesema kuwa kesho Januari 26 watacheza kwenye uwanja ambao wanaweza kucheza kutokana na ubora wa uwanja huo. Pablo amekuwa kwenye mwendo mgumu na kikosi cha Simba ndani ya dakika 180 katika viwanja vya ugenini ambapo hajaambulia ushindi zaidi ya sare na safu yake ya ushambuliaji haijafunga bao. Ilikuwa ni…

Read More

ABDI BANDA NYOTA WA MTIBWA SUGAR AOMBA RADHI

BEKI wa Mtibwa Sugar, Abdi Banda amewaomba radhi wadau wa soka nchini Tanzania kufuatia kauli aliyoitoa dhidi ya wachezaji wa Simba. Banda alitoa kauli ya kuwakejeli kwa wachezaji wa Simba, baada ya mchezo wa Ligi Kuu Bara uliopigwa Uwanja wa Manungu Complex Jumamosi Januari 22 na timu hizo kwenda sare ya 0-0. Beki huyo ambaye amewahi kucheza soka…

Read More

NYOTA MPYA YANGA AMPA JEURI MTUNISSIA

NASREDDINE Nabi, Kocha Mkuu wa Yanga amesema kuwa ujio wa kiungo mshambuliaji,Mkongomani, Chico Ushindi, umeongeza ubora na ushindani wa namba katika kikosi chake. Nabi amesema kuwa licha ya kuwa na nafasi ya kumtumia Fei Toto, lakini yupo Chico ambaye anamudu kucheza nafasi hiyo namba kumi. Nabi amesema kuwa anaamini uwezo mkubwa alionao Chico kutokana na kumfahamu baada ya kumfuatilia…

Read More

KOCHA WA MAKIPA YANGA AFUNGUKA DIARRA KUKAA BENCHI AFCON

KUENDELEA kusugua benchi kwa mlinda mlango namba moja wa Yanga, Djigui Diarra, akiwa na kikosi cha timu ya Taifa ya Mali inayoshiriki mashindano ya Afcon huko Cameroon, kumemuibua kocha wa makipa wa Yanga, Mbrazili, Milton Nievov ambaye ameweka wazi kuwa huenda ikaleta athari katika kiwango chake. Diarra hajaanza katika mchezo wowote wa Mali katika hatua…

Read More

CHIKO USHINDI AMPA KIBURI NABI, USHINDANI WA NAMBA NI BALAA!

KOCHA Mkuu wa Yanga, raia wa Tunisia, Nasreddine Nabi, amesema kuwa ujio wa kiungo mshambuliaji,Mkongomani, Chico Ushindi, umeongeza ubora na ushindani wa namba katika kikosi chake. Kauli hiyo aliitoa siku moja kabla ya mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Polisi Tanzania uliotarajiwa kupigwa jana saakumi kamili kwenye Uwanja wa Sheikh Amri Abeid, Arusha. Kabla…

Read More

SABABU YA MUKOKO KUSEPA YANGA HII HAPA

RASMI uongozi wa Yanga umethibitisha kwamba kiungo Tonombe Mukoko hatakuwa sehemu ya kikosi hicho kwa msimu wa 2021/22 kwenye mechi ambazo zimebaki. Kiungo huyo anakwenda kujiunga na kikosi cha TP Mazembe kwa ajili ya kuendelea kufanya kazi ya mpira ambayo ameichagua. Sababu kubwa ya kiungo huyo kuondoka ni makubaliano ya pande zote mbili kati ya…

Read More