STARS KAZINI LEO, SARE TU AFCON HII HAPA

TIMU ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars ina kibarua cha kusaka ushindi kwenye mchezo wa kuwania kufuzu AFCON dhidi ya Algeria. Katika mchezo huu wa leo kuwania kufuzu michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrka, (AFCON 2023). Stars inahitaji sare ikiwa kundi G inashika nafasi ya pili baada ya kucheza mechi tano na kukusanya pointi…

Read More

NBC YAZINDUA NEMBO MPYA YA CHAMPIONSHIP

NI Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) na Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) Septemba 7 imezindua rasmi chapa mpya ya Ligi ya Daraja la Kwanza (championship). Ligi hiyo kwa sasa inafahamika kwa jina la NBC Championship hatua ambayo imekwenda sambamba na uzinduzi wa mashindano hayo ya soka yanayotarajiwa kuanza Septemba 9. Ujio wa…

Read More

YANGA KAZI BADO INAENDELEA

UONGOZI wa Yanga umebainisha kuwa kazi bado inaendelea kwenye mechi za kitaifa na kimataifa lengo ikiwa ni kupata matokeo chanya. Chini ya Kocha Mkuu, Miguel Gamondi Yanga inaongoza ligi ikiwa na pointi sita na safu ya ushambuliaji imetupia mabao 10. Licha ya kuwapa mazoezi kwenye kambi ya AVIC pia Gamondi aliwapeleka vijana wake ufukweni kuendelea…

Read More

HUYO KRAMO ANA BALAA KWELI HUKO

AHMED Ally, Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano Simba amesema kuwa nyota wao Aubin Kramo ana balaa akiwa kwenye uwanja wa mazoezi jambo linaloongeza nguvu kwenye kikosi hicho. Nyota huyo aliyeibuka Simba akitokea ASEC Mimosas hajaonyesha makeke yake uwanjani kutokana na kusumbuliwa na majeraha alipopata maumivu wakati wa maandalizi ya Ngao ya Jamii, Mkwakwani,…

Read More

HAWA HAPA WAMEBEBSHWA KAZI NA KOCHA SIMBA

KOCHA Mkuu wa Simba Mbrazil, Roberto Oliviera ‘Robertinho’ amewaambia wachezaji wake wapya kuwa sasa ni muda wao muafaka wa kuonyesha thamani yao katika Ligi ya Mabingwa Afrika. Simba inatarajiwa kuanzia ugenini nchini Zambia dhidi ya Power Dynamos katika hatua ya pili ya awali ya Ligi ya Mabingwa Afrika mchezo utakaopigwa Septemba 15, mwaka huu. Kikosi…

Read More

MWAMBA SKUDU AMPA NGUVU GAMONDI

SKUDU Makudubela ingizo jipya ndani ya kikosi cha Yanga limeogeza nguvu katika kikosi hicho kinachoongoza ligi baada ya kukusanya pointi sita na mabao 10. Makudubela hakuwa katika mechi hizo mbili za ligi za ushindani ambazo ni Yanga 5-0 KMC na Yanga 5-0 JKT Tanzania kutokana na kutokuwa fiti baada ya kupata maumivu kwenye mchezo wa…

Read More

MAPUMZIKO YA DHAHABU YASIDUMAZE USHINDANI

WAKATI wa mapumziko kwa timu zinazoshiriki Ligi Kuu Bara ni muhimu kuwa na manufaa kwa kila mmoja kuanzia benchi la ufundi mpaka wachezaji. Tumeona kabla ya ligi kusimama kuna baadhi ya timu ambazo zilikuwa kwenye mwendelezo mzuri wa kupata matokeo chanya. Haina maana mapumziko haya yawatoe kwenye ile kasi haitapendeza bali ni muhimu kuendelea pale…

Read More

SIMBA YAWAFUNGUKIA AL AHLY

BAADA ya droo ya African Football League kuchezwa na Simba kupangwa kuanza na Al Ahly ya Misri, uongozi wa Simba umeweka wazi kuwa wapo tayari kuonyesha ukubwa wao. Simba katika African Football League itaanza na Al Ahly katika hatua ya robo fainali mchezo unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa Oktoba 20,2023 na ule wa marudiano itakuwa…

Read More

MAXI NAMBA 7 WA YANGA ATUMA UJUMBE HUU KIMATAIFA

KIUNGO mshambuliaji wa Yanga, Maxi Mpia Nzegeli ameweka wazi kuwa malengo yake ni kuhakikisha kuwa anaisaidia timu hiyo kufanya vyema katika michuano ya kimataifa na kufikia malengo yao ya kufika hatua ya makundi. Yanga ili wafanikiwe kutinga katika hatua ya makundi wanatakiwa kuhakikisha kuwa wanawaondoa Al Merrikh katka mchezo unaofuata wa hatua ya pili ya…

Read More

MASTAA YANGA WAPIGWA STOP NA GAMONDI

KOCHA Mkuu wa Yanga, Miguel Gamondi raia Argentina ni kama amewashtukia wapinzani wao katika Ligi ya Mabingwa Afrika, Al Merrikh ya Sudan kwa kuamua kufuta mapumziko kwa wachezaji wa timu hiyo na kuingia kambini na kuanza maandalizi kuelekea katika mchezo huo. Yanga ambao imeanza msimu huu kwa mafanikio kutokana na kutoa vipigo vizito katika Ligi…

Read More

MKWARA MZITO SIMBA IMETOA KIMATAIFA

HUKU droo ya mashindano maalum ya African Super League ikitarajiwa kupangwa rasmi leo Jumamosi, wawakilishi wa Tanzania katika mashindano hayo, Simba wamechimba mkwara mzito kwa kuweka wazi wamesuka mkakati mzito wa kuhakikisha wanapambania kushinda ubingwa wa mashindano hayo. Kuendana na waratibu wa mashindano hayo yanayotarajiwa kupigwa mwezi Oktoba, imethibitishwa yanatarajiwa kushirikisha timu za Petro de…

Read More

AIR MANULA AREJEA UWANJANI BAADA YA KUWA NJE KWA MUDA

AISHI Manula, kipa namba moja wa Simba amerejea rasmi uwanjani na kuanza mazoezi maalumu ili kurejea kwenye ubora wake. Kipa huyo ni chaguo la kwanza la Kocha Mkuu, Roberto Oliveira alipopata maumivu ni Ally Salim alikuwa mbadala wake. Manula hakuwa kwenye mchezo wa Kariakoo Dabi msimu wa 2022/23 dhidi ya watani zao wa jadi Yanga…

Read More

KAGERA SUGAR KUJA KWA MPANGO HUU

KOCHA Mkuu wa Kagera Sugar, Mecky Maxime amefichua kuwa kwa sasa kikosi chake kinaendelea na mazoezi ikiwa ni baada ya kuanza vibaya kwenye michezo yao ya Ligi Kuu Bara. Baada ya kucheza mechi mbili haijakusanya pointi huku vinara wakiwa ni Yanga wenye pointi sita kibindoi. Yanga pia kwenye mechi mbili za ligi wametupia jumla ya…

Read More