Ujue muda wa mechi ya Yanga SC vs Simba SC
Yanga SC vs Simba SC, fainali Muungano Cup inatarajiwa kuchezwa kesho Aprili 29, 2026 Uwanja wa New Amaan Complex. Mechi hii itachezwa kuanzia saa 2:15 usiku kwa wababe wawili kukutana uwanjani kusaka bingwa wa Muungano Cup 2026. Ikumbukwe kwamba mabingwa watetezi wa taji hilo ni Yanga SC inayonolewa na Kocha Mkuu, Pedro Goncalves. Simba SC…