Ujue muda wa mechi ya Yanga SC vs Simba SC

Yanga SC vs Simba SC, fainali Muungano Cup inatarajiwa kuchezwa kesho Aprili 29, 2026 Uwanja wa New Amaan Complex. Mechi hii itachezwa kuanzia saa 2:15 usiku kwa wababe wawili kukutana uwanjani kusaka bingwa wa Muungano Cup 2026. Ikumbukwe kwamba mabingwa watetezi wa taji hilo ni Yanga SC inayonolewa na Kocha Mkuu, Pedro Goncalves. Simba SC…

Read More

Matokeo ya Simba SC Muungano Cup 2026

Simba SC imekata tiketi ya kutinga hatua ya fainali Muungano Cup 2026 kwa ushindi wa magoli 3-0 dhidi ya Mlandege FC katika mchezo nusu fainali ya pili. Ushindi huo unaipata tiketi kukutana na Yanga SC kwenye mchezo wa fainali unaotarajiwa kuchezwa Aprili 29, 2026 Uwanja wa New Amaan Complex. Ni wazi kwamba mabingwa watetezi wa…

Read More

Yanga SC vs Simba SC, Muungano Cup fainali

Yanga SC vs Simba SC ni Dabi ya Kariakoo, Kombe la Muungano Cup kwa wababe hawa kupambana kusaka taji. Mchezo huu unatarajiwa kuchezwa kesho 29/4/2026 Jumatano, Uwanja wa New Amaan Complex Zanzibar, kuanzia majira ya saa 2:15 usiku kwa saa za Afrika Mashariki. Yanga SC wanaingia katika mchezo huu kama mabingwa watetezi, huku watani zao…

Read More

Simba SC vs Mlandege FC leo

LEO Aprili 26, 2026 mchezo wa Hatua ya Nusu Fainali ya Muungano Cup 2026 utapigwa kwa wababe wawili kusaka tiketi kusonga hatua ya fainali. Ni katika Uwanja wa New Amaan Complex Zanzibar, Simba SC vs  Mlandege FC, nusu Fainali ya pili ya mashindano haya. Mshindi wa mechi hii atavaana naYanga SC iliyopata ushindi wa magoli…

Read More

Yanga SC vs Azam FC ni leo Muungano Cup

Yanga SC vs Azam FC ni leo Aprili 25, 2026 kwenye hatua ya nusu fainali Muungano Cup, Uwanja wa New Amaan Complex. Hii ni Nusu Fainali ya kwanza, ya mashindano ya Muungano Cup 2026, ambao unajulikana kama ‘Dar es Salaam Derby’. Ikumbukwe kwamba Yanga SC imefika hatua hii baada ya kuifunga Muembe Makumbi City 4-0…

Read More

Singida Black Stars mpaka wakati ujao

BAADA ya kufungashiwa virago kwenye hatua ya robo fainali Muungano Cup 2026, Singida Black Stars wanarejea nyumbani kwa maandalizi ya mechi zijazo. Timu hiyo ilipoteza mchezo wa kwanza kwa kufungwa magoli 2-1 dhidi ya Mlandege ambao wametinga hatua ya nusu fainali. Timu hiyo ilianza kupata goli dakika ya 9 kupitia kwa Daud halikudumu mpaa mwisho…

Read More

Simba SC 1-0 Mafunzo SC

 Simba SC 1-0 Mafunzo FC ni matokeo rasmi mchezo wa hatua ya robo fainali Muungano Cup 2026. Goli la Simba SC limefungwa na Seleman Mwalimu dakika ya 54. Mchezaji huyo alianzia benchi amekuwa ni super sub. Katika dakika 45 za mwanzo wababe hawa wawili walishuhudia ubao wa Uwanja wa New Amaan Complex ukisoma Simba SC…

Read More