City Wapoteza Uongozi, Everton Wavunja Ndoto za Ubingwa kwa Sare ya Kusisimua 3-3

Uwanja wa Hill Dickinson ulikuwa kimya kwa sekunde chache kabla ya kulipuka kwa kelele za mashabiki wa Everton. Ilikuwa jioni ambayo ilibadilika kutoka matumaini ya ushindi wa Manchester City hadi tamthilia ya kusisimua ya EPL msimu wa 2025/26. Manchester City walikuwa wameingia uwanjani wakijua hawana nafasi ya kupoteza pointi, wakipambana kumfikia vinara Arsenal katika mbio…

Read More

Wachezaji Man United Waendelea Kumsifia Carrick Baada ya Matokeo Mazuri

Matheus Cunha ameendelea kumiminia sifa kocha wa muda wa Manchester United, Michael Carrick, akisema anastahili kupewa kibarua cha kudumu kutokana na matokeo na mchango wake mkubwa ndani ya klabu hiyo. Carrick, ambaye aliwahi kuwa kiungo tegemeo wa Manchester United kwa zaidi ya mechi 400 akiwa mchezaji, amerudi Old Trafford kama kocha na ameonekana kuibadilisha timu…

Read More

Kagoma, Kibabage kuikosa Kariakoo Dabi?

NYOTA wa Simba SC Nikson Kibabage, Anicent Oura na Yusuph Kagoma uwezekano wa kuikosa Kariakoo Dabi kesho ni mdogo kulingana na maendeleao yao kuzidi kuwa imara. Awali wachezaji hao walileta mshtuko kutokana na maumivu ambayo walipata kwenye mchezo wa Kariakoo Dabi, Muungano Cup 2026 dhidi ya Yanga SC, Uwanja wa New Amaan Complex. Ahmed Ally,…

Read More

Kitawaka Kesho Jumapili Manchester United vs Liverpool, Vita ya kufuzu Ligi ya Mabingwa

Manchester United vs Liverpool inatarajiwa kuwa moja ya mechi kubwa zaidi ya msimu, huku pande zote mbili zikiwania nafasi muhimu ya kufuzu Ligi ya Mabingwa Ulaya. Manchester United wanahitaji pointi mbili pekee kuhakikisha wanamaliza katika nafasi ya juu inayowapa tiketi ya Ulaya. Kwa sasa wako nafasi ya tatu, wakiwa mbele ya wapinzani wao kwa pointi…

Read More