Kagoma, Kibabage kuikosa Kariakoo Dabi?

NYOTA wa Simba SC Nikson Kibabage, Anicent Oura na Yusuph Kagoma uwezekano wa kuikosa Kariakoo Dabi kesho ni mdogo kulingana na maendeleao yao kuzidi kuwa imara. Awali wachezaji hao walileta mshtuko kutokana na maumivu ambayo walipata kwenye mchezo wa Kariakoo Dabi, Muungano Cup 2026 dhidi ya Yanga SC, Uwanja wa New Amaan Complex. Ahmed Ally,…

Read More

Kitawaka Kesho Jumapili Manchester United vs Liverpool, Vita ya kufuzu Ligi ya Mabingwa

Manchester United vs Liverpool inatarajiwa kuwa moja ya mechi kubwa zaidi ya msimu, huku pande zote mbili zikiwania nafasi muhimu ya kufuzu Ligi ya Mabingwa Ulaya. Manchester United wanahitaji pointi mbili pekee kuhakikisha wanamaliza katika nafasi ya juu inayowapa tiketi ya Ulaya. Kwa sasa wako nafasi ya tatu, wakiwa mbele ya wapinzani wao kwa pointi…

Read More

Tuzo za Man of the Match Muungano Cup

Muungano Cup 2026 imefika tamati huku rekodi zikiwa zimeandikwa kwa wachezaji na Klabu ya Simba SC kutwaa taji hilo. Hapa tumekuletea orodha ya wachezaji waliotwaa tuzo ya Man of the Match katika kila hatua namna hii: Hatua Mechi/Timu husika Mchezaji aliyechaguliwa Robo fainali Yanga SC vs Muembe Makumbi Shekhan Khamis (Yanga SC) Nusu fainali Yanga…

Read More

FIFA Yathibitisha Ushiriki wa Iran Kombe la Dunia 2026 Licha ya Mvutano wa Kisiasa

Rais wa Shirikisho la Soka Ulimwenguni, (FIFA), Gianni Infantino amethitibitisha kuwa Iran itashiriki mashindano ya Kombe la Dunia 2026 inayotarajiwa kuanza Juni 11 hadi Julai 19, 2026 licha ya mvutano kijiografia na kisiasa baina ya Marekani, Israel na Iran. Akizungumza kwenye Mkutano wa 76 wa FIFA huko Vancouver mnamo Aprili 30, 2026, Infantino alisema bila…

Read More