
LEO KITAWAKA STAMFORD BRIDGE
LEO Novemba 28, Uwanja wa Stamford Bridge kitawaka kwa mchezo mkali wa Ligi Kuu England kati ya Chelsea v Manchester United. Mwamuzi wa kati atakuwa ni Anthony Taylor ambaye akishapuliza kipyenga leo atakuwa anaashiria kuanza kuzitafuta dakika 90 za mchezo wa leo. Chelsea watakuwa nyumbani ambapo wataikaribisha Manchester United na ni vinara wa ligi kwa…