>

Saleh

KMC V AZAM FC KUKIWASHA LEO

UWANJA wa Uhuru leo unatarajiwa kuchezwa mchezo wa kukata na shoka kati ya KMC, Wanakino Boys dhidi ya Azam FC hawa matajiri wa Dar. Utakuwa ni mchezo wa 7 kuwakutanisha kwenye mechi za Ligi Kuu Tanzania Bara ambapo rekodi zinaonyesha kwamba Azam FC wamekuwa wababe mbele ya KMC. Azam FC ni mara tatu imeshinda huku…

Read More

MALENGO YA SIMBA NI KUTWAA MATAJI

MIRTAZA Mangungu, Mwenyekiti wa Klabu ya Simba amesema kuwa malengo makubwa ya timu hiyo ni kuhakikisha kwamba wanashinda mataji. Simba ni mabingwa watetezi wa ligi wakiwa nafasi ya pili na pointi 14 huku Yanga wakiwa ni vinara wa ligi na wana pointi 16. Maneno hayo ameyasema katika mkutano mkuu wa Wanachama wa Simba ambao unafanyika…

Read More

MANCHESTER UNITED WANYOOSHWA UGENINI

DAVID De Gea kipa namba moja wa Manchester United amesema kuwa wapo kwenye wakati mgumu kwa sasa kutokana na matokeo ambayo wanayapata ila wanawashukuru mashabiki kwa namna ambavyo wanakuwa nao. Baada ya dakika 90 kukamilika ubao ulisoma Watford 4-1 Manchester United. Kwenye mchezo huo uliochezwa Uwanja wa Vicarage Road licha ya uwepo wa Cristiano Ronaldo…

Read More

ARSENAL YAPIGWA 4G

KLABU ya Liverpool imeishushia kichapo cha mabao 4-0 Arsenal katika mchezo wa Ligi Kuu uliochezwa Uwanja wa Anfield. Mabao ya Sadio Mane dakika ya 39,Dogo Jota dakika ya 52,Mohamed Salah dakika ya 73 na Takumu Minamino dakika ya 77 yalitosha kuituliza Arsenal. Ni jumla ya mashuti 19 ambayo Liverpool ilipiga huku 9 yakilenga lango katika…

Read More

YANGA YAGAWANA POINTI MOJAMOJA NA NAMUNGO

KIKOSI cha Yanga kimelazimisha sare ya kufungana bao 1-1 dhidi ya Namungo FC katika mchezo uliochezwa Uwanja wa Ilulu. Bao la Namungo limefungwa na Obrey Chirwa dakika ya 53 na bao la kusawazishwa kwa Yanga lilifungwa na Said Ntibanzokiza dk 82 kwa penalti. Inakuwa ni sare ya kwanza kwa Yanga inayonolewa na Kocha Mkuu, Nasreddine…

Read More

RASMI,KIKOSI CHA YANGA DHIDI YA NAMUNGO

  SAA 10;00 jioni kikosi cha Yanga kitakuwa na kibarua cha kusaka pointi tatu mbele ya Namungo FC mchezo utakaochezwa Uwanja wa Ilulu, Lindi. Hiki hapa kikosi rasmi ambacho kinatarajiwa kuanza leo mbele ya Namungo kusaka pointi tatu muhimu:- Diarra Djidgui Djuma Shaban Kibwana Shomari Dickson Job Bakari Mwamnyeto Yannick Bangala Tonombe Mukoko Jesus Moloko…

Read More

TANZANIA YASHUKA VIWANGO FIFA

TANZANIA imeshuka nafasi moja kutoka 130 hadi 131 katika viwango vya ubora wa soka vilivyotolewa na Shirikisho la Kimataifa la Mpira wa Miguu, Fifa jana.   Huenda kufanya kwao vibaya katika michezo miwili ya mwisho ya kufuzu Kombe la Dunia dhidi ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) waliofungwa mabao 3-0 na sare ya bao 1-1…

Read More

SIMULIZI YA MZAZI ALIYEKUWA NA MAWAZO KISA UWEZO WA WATOTO

SIMULIZI ya mzazi aliyekuwa na mawazo kisa uwezo wa watoto kuporomokaghafla Ni furaha ya kila mzazi kuona watoto wakifaulu maishani na kuweza kunawiri na kujiendeleza maishani mwake bila mtafaruku wowote, yote hayo yalionekana kutoweza kutimia kwa watoto  ambao walikuwa ni Juma na Halima wenye miaka 10, na 13 Walikuwa wachangamfu na kunipa matumaini ya kuweza…

Read More

NAMUNGO HAWANA DOGO,WATUMA UJUMBE YANGA

UONGOZI wa Namungo umebainisha kwamba malengo makubwa ambayo wanayo ni kuweza kushinda mechi zao zote zilizopo mbele yao ikiwa ni pamoja na ule dhidi ya Yanga. Leo Novemba 20, Namungo FC itawakaribisha Yanga kwenye mchezo wa ligi unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Ilulu majira ya saa 10:00 jioni. Kwa mujibu wa Mtendaji Mkuu wa Namungo FC,…

Read More

MWENDO ALIOANZA NAO PABLO BONGO HUU HAPA

PABLO Franco Kocha Mkuu wa Simba ameanza kwa kushuhudia timu yake ikisepa na ushindi mbele ya Ruvu Shooting kwenye mchezo uliochezwa Uwanja wa CCM Kirumba. Ukiwa ni mchezo wake wa kwanza baada ya kuchukua mikoba ya Didier Gomes alishuhudia  ubao ukisoma Ruvu Shooting 1-3 Simba ambapo mbinu yake ya kuwatumia washambuliaji wawili Kibu Dennis na…

Read More

NAMUNGO V YANGA, YUPI ATAVUNJA NGOME LEO?

  ILE ngome ambayo ilikuwa ngumu kuvunjika muda wote sasa wakati wake umefika tena kuanza kuvunjwa upya ambapo leo Uwanja wa Ilulu, wanaume watakuwa kazini. Baada ya kushindwa kufanikiwa kwa muda wa misimu miwili walipokutana wanakutana kwa mara nyingine tena kuendelea pale walipoishia ili kuweza kuona baada ya dakika 90 kitatokea kitu gani. Utakuwa ni…

Read More

YANGA YAZIPIGIA HESABU POINTI ZA NAMUNGO

UONGOZI wa Yanga umebainisha kwamba unahitaji pointi tatu za Namungo kwenye mchezo wa leo Novemba 20 licha ya kwamba utakuwa ni mchezo mgumu. Ikiwa ni namba moja kwenye msimamo na pointi zake 15 baada ya kucheza mechi tano ina kibarua cha kusaka pointi tatu mbele ya Namungo FC. Ofisa Habari wa Yanga, Haji Manara amesema…

Read More

MASAU BWIRE YUPO BIZE NA MAJUKUMU YA TAIFA

BAADA ya dakika 90 kukamilika kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara kati ya Ruvu Shooting v Simba uliochezwa Uwanja wa CCM Kirumba, Ofisa Habari wa Ruvu Shooting alikuwa kwenye jukumu zito la kutimiza majukumu ya taifa.   Ubao ulisoma Ruvu Shooting 1-3 Simba na kufanya mabingwa hao watetezi kusepa na pointi tatu jumlajumla. Mabao ya…

Read More

LINGARD ANATAKA KUSEPA UNITED

MSHAMBULIAJI wa Manchester United, Jesse Lingard mwenye miaka 28 anataka kuondoka ndani ya kikosi hicho kwenye kipindi cha usajili wa Januari,mwakani. Msimu uliopita nyota huyo alikuwa kwa mkopo ndani ya kikosi cha West Ham United na aliweza kufanya vizuri lakini aliporejea ndani ya Manchester United hana nafasi ya kuanza kikosi cha kwanza. Mshambuliaji huyo ameweka…

Read More