
SAUTI:MISHAHARA YA NYOTA YANGA HII HAPA
NYOTA wa Yanga wanatajwa kukunja mishahara mirefu mwisho wa mwezi huku Aziz KI akitajwa kukunja mshara mrefu zaidi ndani ya kikosi hicho kinachonolewa na Kocha Mkuu,Nasreddine Nabi
NYOTA wa Yanga wanatajwa kukunja mishahara mirefu mwisho wa mwezi huku Aziz KI akitajwa kukunja mshara mrefu zaidi ndani ya kikosi hicho kinachonolewa na Kocha Mkuu,Nasreddine Nabi
OKWA na Okrah hawa jamaa mtalala na viatu ndani ya Championi Ijumaa
KIUNGO Aziz KI anatarajiwa kutambulishwa leo Julai 14 na mabosi wa Yanga baada ya kusaini dili la miaka miwili. Nyota huyo alikuwa anacheza ASEC Mimosas mkataba wake umegota ukingoni hivyo atajiunga na Yanga akiwa ni mchezaji huru. Anakwenda kuungana na kiungo Bernard Morrison ambaye aliwahi kucheza naye kwenye mashindano ya kimataifa zama zile Morrison alipokuwa…
MASTAA watano wa kikosi cha Simba wataachwa Bongo kwa ajili ya kuweza kutimiza majukumu yao kwenye timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stasr. Kikosi cha Simba leo Julai 14,2022 kinatarajiwa kukwea pipa kueleka nchini Misri kwa ajili ya maandalizi ya msimu mpya wa 2022/23. Kwa mujibu wa Mkuu wa Kitengo cha Habari na Mawasiliano ndani…
STAA Raheem Sterling (27) ameandika ujumbe maalum wa kuwaaga mashabiki wa Manchester City muda mfupi kabla ya kukamilisha uhamisho wake wa kujiunga na Klabu ya Chelsea ya Uingereza. Katika ujumbe wake Sterling amewashukuru mashabiki na timu ya Manchester City pamoja na bechi la ufundi kwa ujumla kutokana na namna walivyokuwa naye katika nyakati nzuri na…
KAZI ndiyo imeanza,Mayele aja na staili mpya asisitiza anaizindua kwa Simba Ngao ya Jamii ndani ya Spoti Xtra Alhamisi
MUDA wowote kuanzia sasa huenda Yanga ikamtambulisha nyota wao mpya ambaye ni Aziz KI ambaye anacheza ndani ya kikosi cha ASEC Mimosas. Yanga inaendelea kufanya usajili kwa ajili ya maboresho ya kikosi hicho ambacho kitashiriki Ligi ya Mabingwa Afrika. Yanga watawapa kile ambacho mashabiki wao wanasubiri utambulisho wa staa huyo raia wa Ivory Coast. Nyota…
RASMI kiungo Augustine Okrah raia wa Ghana ametambulishwa ndani ya kikosi cha Simba. Kiungo huyo alikuwa kwenye kikosi cha Bechem United ya Ghana na alifunga mabao 14 msimu wa 2021/22. Nyota huyo ana uwezo wa kucheza katika nafasi ya winga kwa umakini mkubwa na kutimiza majukumu yake. Ikumbukwe kwamba anakuwa ni mchezaji wa tatu wa…
YANGA wanatarajia kuweka kambi Ulaya ikiwa mambo yatakwenda sawa na ikishindikana basi wataangalia sehemu itakayowafaa kwa ajili ya maandalizi ya msimu wa 2022/23
AHMED Ally,Mkuu wa Kitengo cha Habari na Mawasiliano ndani ya Klabu ya Simba ameweka wazi kuwa watarejea waikiwa imara baada ya kuweka ambi nchini Misri. Kesho,kikosi cha Simba kinachonolewa na Kocha Mkuu Zoran Maki kinatarajiwa kuweza kuelekea nchini Misri kwa ajili ya maandalizi ya msimu wa 2022/23. Ahmed ameweka wazi kuwa watakuwa kamili kuelekea nchini…
UONGOZI wa Yanga umeweka wazi kuwa kwa namna ambavyo wanasajili wachezaji wenye uwezo mkubwa wapinzani wao watasubiri kuwashusha hapo walipo kwa sasa. Yanga imeweza kumalizana na nyota wa kazi ikiwa ni pamoja na kiungo Bernard Morrison,Lazarus Kambole na Gael Bigirimana ambao wana uhakika wa kuwa kwenye kikosi hicho msimu ujao. Ofisa Habari wa Yanga, Haji…
UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa usajili wa wachezaji wazawa ndani ya kikosi hicho ni usajili wa kuweza kusimamisha nchi kwa kuwa kila mchezaji ana thamani kubwa. Tayari Simba imetambulisha wachezaji wawili wazawa kwa ajili ya msimu ujao ikiwa ni pamoja na Habib Kyombo aliyekuwa anakipiga ndani ya Mbeya Kwanza na Nassoro Kapama ambaye alikuwa…
NYOTA wa Tanzania, Simon Msuva ameshinda kesi yake na anatajwa kuibukia ndani ya Klabu ya Yanga
UONGOZI wa Simba umebainisha kwamba, Kocha Mkuu Zoran Maki amekubali kuweza kusimamia malengo na dira ya timu hiyo kwa msimu ujao wa 2022/23. Masharti ambayo amekubali kuweza kutimiza ni pamoja na kutwaa Kombe la Ligi Kuu Bara,Kombe la Shirikisho,Ngao ya Jamii pamoja na kutinga hatua ya nusu fainali Ligi ya Mabingwa Afrika. Maki amepewa mkataba…
KOCHA wa Manchester United raia wa Uholanzi Eric Ten Hag amewaambia Waandishi wa Habari kuwa mshambuliaji wa klabu hiyo Cristiano Ronaldo hauzwi. Ten Hag ameyasema hayo kufuatia kuwepo kwa tetesi zinazomuhusisha nyota huyo kutimka katika viunga vya Old Trafford kufuatia klabu hiyo kutoshiriki katika mashindano ya Ligi ya Mabingwa Barani Ulaya maarufu kama UEFA. “Hajaniambia…
YANGA imemtambulisha beki mpya ambaye ni Joyce Lomalisa,hizi hapa rekodi zake
KCHEKI ufundi wa Augustino Okrah winga mpya anayetajwa kuibukia Simba