KIUNGO WA KAZI AZICHONGANISHA SIMBA NA YANGA
IMEELEZWA kuwa kiungo mshambuliaji wa Coastal Union, Abdul Suleiman, ‘Sopu’ yupo kwenye rada za Yanga na Simba ambao wanawania saini yake. Nyota huyo amekuwa kwenye ubora wake msimu huu ndani ya Coastal Union akiwa ametupia mabao 7 ndani ya ligi na ni namba moja kwenye timu hiyo. Habari zimeeleza kuwa Simba wanahitaji kuipata saini ya…