
AZAM FC KUIKABILI PRISONS, RUVU SHOOTING YAICHAPA COASTAL UNION
MCHEZO mmoja wa Ligi Kuu Bara leo unatarajiwa kuchezwa, Uwanja wa Sokoine ambapo itakuwa ni kati ya Tanzania Prisons dhidi ya Azam FC. Wageni Azam FC, jana waliwasili Mbeya na walifanya mazoezi ya mwisho kwa ajili ya mchezo wa leo miongoni mwao ni pamoja na nyota Agrey Morris. Idd Nado ambaye alikuwa nje kwa muda…