KIKOSI CHA SIMBA KITAKACHOANZA DHIDI YA KAGERA SUGAR
KIKOSI cha Simba ambacho kitaanza kwenye mchezo wa leo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Kagera Sugar, Uwanja wa Mkapa kipo namna hii:- Manula Mohamed Hussein Shomari Kapombe Henock Inonga Ouattara Mohamed Sadio Kanoute Pape Sakho Clatous Chama Moses Phiri Agustino Okra Peter Banda