Saleh

MAYELE ATETEMA KWA MARA NYINGINE YANGA IKISHINDA

KIKOSI cha Yanga kimeibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Coastal Union kwenye mchezo wa ligi uliochezwa Uwanja wa Sheikh Amri Abeid kwa mabao ya Bernard Morrison dk ya 4 na Fiston Mayele dk ya 67. Mayele ametetema kwa mara nyingine kwenye mchezo wa leo ambao alianzia benchi na alichukua nafasi ya Makambo Heritier….

Read More

SIMBA QUEENS WASHINDA KIMATAIFA

UBAO wa Uwanja wa Mkapa, baada ya dakika 90 kwenye mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika kwa upande wa Wanawake, Simba imefanikiwa kutinga hatua ya nusu fainali. Ni mabao ya Vivian Aquino Corazone anayevaa uzi namba 4 dakika ya 15 huku Philomena Abakay yeye alitupia mabao mawili na uzi wake mgongoni ni namba 27. Mshambuliaji mahiri…

Read More

GWIJI SUAREZ AMPA NENO NUNEZ

 GWIJI wa Liverpool, Luis Suarez, amemuonya Mruguay mwenzake, Darwin Nunez kujifunza kutoka kwenye makosa yake baada ya kutolewa nje kwa kadi nyekundu kwa kumpiga kichwa Joachim Anderson kwenye sare ya kufungana bao 1-1 dhidi ya Crystal Palace. Mshambuliaji huyo anayeichezea Nacional kwa sasa anakumbukwa kwamba alikuwa ni mbabe na mtukutu katika miaka mitatu ambayo alitumika…

Read More

CASEMIRO HUYO MAN UNITED

MANCHESTER United imekubaliana na Real Madrid dili la kumsajili kiungo Casemiro kwa pauni milioni 60. Tayari pande zote zimeshakubaliana huku United pia ikiwa imeshakubaliana na Mbrazil huyo ambaye anatarajiwa kufanyiwa vipimo vya afya wikiendi hii kabla ya kusaini mkataba wa miaka minne, Old Trafford. Mkataba huo unakipengele cha kuongeza mwaka mwingine zaidi ikiwa atafanya kazi…

Read More

HII HAPA RATIBA YA LIGI KUU BARA LEO

LIGI Kuu Tanzania Bara inaendelea leo Agosti 20,2022 ambapo kuna mechi nne zitachezwa kusaka pointi tatu muhimu. Ikumbukwa kwama jana Agosti 19 ulichezwa mchezo mmoja, Uwanja wa Uhuru na ubao ulisoma Ihefu 0-1 Namungo FC. Leo ni Coastal Union v Yanga Polisi Tanzania v KMC Simba v Kagera Sugar

Read More

NAMUNGO YASHINDA MBELE YA IHEFU, LUSAJO KAMA KAWA

MCHEZO pekee wa Ligi Kuu Bara ambao umechezwa leo Agosti 19,2022 Uwanja wa Uhuru dakika 90 ubao umeseoma Ihefu 0-1 Namungo FC. Huu unakuwa mchezo wa pili mfululizo kwa timu ya Ihefu inayonolewa na Kocha Mkuu, Zuber Katwila kupoteza pointi tatu ikiwa nyumbani. Ikumbukwe kwamba mchezo wa kwanza uliochezwa Uwanja wa Highland Estate, Ihefu ilifungwa…

Read More

YANGA YAINGIA MKATABA WA MIAKA MIWILI NA JACKSON GROUP

KLABU ya Yanga leo Agosti 19,2022 imeingia makualiano na Kampuni ya Masoko iitwayo Jackson Group. Kwa mujibu wa rais wa Yanga,  Hersi Ally Said amesema kuwa  wameingia mkataba wa miaka miwili na Kampuni ya masoko ya Jackson Group ambayo itakuwa na jukumu la kuleta mahusiano ya kibiashara kati ya Yanga na washirika wengine. “Kampuni ya…

Read More

KILA MTU ANA NAFASI YA KUSHINDA JACKPOT MERIDIANBET, UNAFAHAMU JACKPOT NI NINI NA NAMNA YA KUSHINDA?

Kwa mpenzi wa kubashiri mtandaoni, bila shaka hili ni jambo unalolitazama kwa jicho la tatu, Jackpoti zimekuwa ni kivutio cha wataalamu na wapenzi wengi wa ubashiri. Nipo kwa ajili ya kukuwekea sawa fursa za kushinda Jackpoti kubwa na kasino ya mtandaoni, lakini naona umuhimu wa kukupa kijihistoria kidogo cha Jackpoti kwenye ulimwengu wa kubashiri. Jackpoti,…

Read More

MBINU YA SIMBA KUTWAA UBINGWA IPO HIVI

UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa utapambana kuhakikisha unapata pointi nyingi mzunguko wa kwanza ili kuweza kufikia malengo ya kutwaa ubingwa. Kwa sasa mabingwa watetezi wa ligi ni Yanga inayonolewa na Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi ambaye alikiongoza kikosi cha Yanga kutwaa ubingwa bila kufungwa. Kikosi cha Simba kinanolewa na Kocha Mkuu, Zoran Maki aliyechukua mikoba…

Read More

KOCHA NABI AKUBALI UWEZO WA NYOTA WAKE

KOCHA Mkuu wa Yanga, Nasreddine Nabi ameweka wazi kuwa viwango vya wachezaji wake ambavyo wameonyesha kwenye mechi mbili amevutiwa navyo na anahitaji waweze kuongeza zaidi. Katika mchezo wa Ngao ya Jamii, Yanga iliweza kushinda mabao 2-1 dhidi ya Simba na iliweza kushinda pia mabao 2-1 mbele ya Polisi Tanzania ilikuwa kwenye mchezo wa ligi. Mabao…

Read More