Saleh

MWAMBA AZIZ KI, MTAMBO WA MAPIGO HURU

KWA mzunguko wa kwanza majukumu ya mipira iliyokufa ndani ya kikosi cha Yanga yalikuwa kwenye miguu ya Aziz KI. Nyota huyu bado hajaonyesha makeke yake kama ilivyokuwa ndani ya ASEC Mimosas lakini taratibu anazidi kuimarika. Ni mabao mawili ametupia ndani ya ligi msimu huu wa 2022/23 ndani ya kikosi cha Yanga kinachonolewa na Kocha Mkuu,…

Read More

MTAMBO WA MABAO WAREJEA AZAM FC

 NDANI ya kikosi cha Azam FC namba moja kwa utupiaji ni Idris Mbombo ambaye ametupia mabao sita kibindoni. Hakuwa kwenye mechi za mwisho za mzunguko wa ligi kwa kuwa hakuwa fiti lakini tayari kwa sasa ameanza mazoezi kwa ajili ya kurejea uwanjani mzunguko wa pili. Miongoni mwa mechi ambayo alikosekana ni ile yakufungia mzunguko wa…

Read More

MAYELE, MGUNDA WASEPA NA TUZO NOVEMBA

NYOTA wa Yanga Fiston Mayele amechaguliwa kuwa mchezaji bora ndani ya Ligi Kuu Bara msimu wa 2022/23. Kwa mujibu wa Kamati ya Tuzo ya TFF imeeleza kuwa haikumuhusisha kocha wa Azam FC kwa kuwa timu hiyo haikuwa na kocha mkuu kwa Novemba. Ikumbukwe kwamba Azam FC ipo chini ya Kaimu Kocha Mkuu, Kali Ongala ambaye…

Read More

MITAMBO YA PENALTI SIMBA HII HAPA

 SIMBA imekamilisha mzunguko wa pili msimu wa 2022/23 huku safu yake ya ushambuliaji ikiwa imetupia mabao 31. Kweye mabao hayo ni mawili yamefungwa kutokana na penalti ilikuwa dhidi ya Geita Gold ambapo mtupiaji alikuwa ni Clatous Chama. Aliyesababisha penalti hiyo ni Augustino Okra kisha penalti ya pili ilikuwa Uwanja wa Mkwakwani, Tanga walipocheza na Coastal…

Read More

HAZARD ASTAAFU MAJUKUMU YA TIMU YA TAIFA

EDEN Hazard nyota wa timu ya Real Madrid ameamua kustaafu kutumika majukumu ya Timu ya Taifa ya Ubelgiji baada ya timu hiyo kufungashiwa virago kwenye Kombe la Dunia hatua ya makundi huko Qatar,2022.  Nahodha huyo wa timu ya taifa amefunga jumla ya mabao 33 kwenye mechi 126 ambazo amecheza na timu hiyo tangu akiwa na…

Read More

USAJILI WA MTIBWA SUGAR UPO HIVI

UONGOZI wa Mtibwa Sugar umesema kuwa kwa sasa unasubiri ripoti ya benchi la ufundi ili kufanikisha mpango wa kusajili wachezaji wapya. Dirisha dogo la usajili linatarajiwa kufunguliwa wiki ijayo ambapo timu hupewa muda wa kuboresha nafasi ambazo wataona zinahitaji kuongezewa nguvu. Miongoni mwa wanaosakwa ndani ya Mtibwa Sugar ni kwenye eneo la ushambuliaji pamoja na…

Read More

NAMUNGO YAKWAMA KUTAMBA MBELE YA YANGA

NGOMA imekamilika Uwanja wa Majaliwa ubao ukisoma Namungo 0-2 Yanga ambapo wenyeji wamekwama kutamba mbele ya wageni. Namungo walizidiwa ujanja kipindi cha kwanza kutokana na makosa ya kipa Jonathan Nahimana kwenye kuokoa pigo la faulo ya Aziz KI iliyokutana na Yannick Bangala dakika ya 40. Bao la pili, Nahimana katika harakati za kuokoa shuti la…

Read More

AZAM FC NI MOTO KWENYE LIGI

KWENYE timu ambazo zimefunga kwa rekodi matata ndani ya Ligi Kuu Bara msimu wa 2022/23 huwezi kuiweka kando Azam FC. Licha ya mechi zake kuwa na ushindani mkubwa pamoja na adhabu kwa baadhi ya wachezaji kama ilivyotokea mchezo wa Azam FC 3-2 Coastal Union bado boli inatembea. Ni Ayoub Lyanga huyu ni mtambo wa mabao…

Read More

NAMUNGO 0- 1 YANGA

JONATHAN Nahimana kosa moja alilofanya dakika ya 40 limekuwa ni faida kwa Yanga ambao walimtungua bao wakati huo. Ni kazi ya Yannick Bangala ambaye alimaliza mpira uliotemwa na kipa huyo wakati akiokoa pigo la faulo iliyopigwa na Aziz KI. Namungo wanacheza mchezo wa kujilinda wakiwa Uwanja wa Majaliwa kwenye mchezo wa leo. Wamekamilisha dakika 45…

Read More

KIUNGO WA KAZI SIMBA AREJEA NA KUANZA MATIZI

NELSON Okwa kiungo wa Simba amerejea kwenye kikosi na kuanza mazoezi na wachezaji wenzake wa timu hiyo. Okwa ni ingizo jipya ndani ya kikosi cha Simba hajawa kwenye mwendo mzuri kwa kwa hakuwa fiti.  Okwa alikuwa anasumbuliwa na tatizo la nyonga kwa mujibu wa Kocha Mkuu wa Simba Juma Mgunda. Hakuwa kwenye mchezo uiopita wa…

Read More

HUYU HAPA MBUTUA FUKO LA MILIONI 20

BAO la kiungo wa Yanga, Feisal Salum dakika ya 89 limebutua fuko la shilingi milioni 20 ambazo waliahidiwa wachezaji wa Prisons kubeba ikiwa watashinda mchezo huo na kama wangeambulia sare milioni 10. Ahadi hiyo ilitolewa na Ofisa Masoko wa Kampuni ya Silent Ocean, Mohamed Kamilagwa ikumbukwe kwamba hao ni wadhamini wakuu wa Tanzania Prisons. Desemba…

Read More