Saleh
AZAM FC HESABU KWA RUVU SHOOTING
AZAM FC hesabu zao kwa sasa ni mchezo ujao dhidi ya Ruvu Shooting ambao unatarajiwa kuchezwa Morogoro.
Katika mchezo uliopita wa Ligi Kuu Bara, Azam...
MANE APIGWA FAINI NDEFU KWELI BAYERN
BAADA ya Sadio Mane kumpiga mchezaji mwenzake wa bayern Munich, Leroy Sane wiki iliyopita nyota huyo amepigwa faini ya pauni 250,000, (Sh.724,445,000).
Pia inatajwa kuwa...
YANGA KUWAFUATA RIVERS UNITED KAMILIKAMILI
UONGOZI wa Yanga umeweka wazi kuwa upo tayari kwa ajili ya mchezo wa hatua a robo fainali dhidi ya Rivers United ambao ni wa...
MGUNDA: BAHATI YAO, YANGA WANGEKULA ZA KUTOSHA
KOCHA Msaidizi wa Simba, Juma Mgunda, ametamba gemu plani yao ndio imewapa matokeo mazuri ya ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Yanga akisema kwamba...
HAPA NDIPO YANGA WALIPOVURUGWA
NASREDDINE Nabi, Kocha Mkuu wa Yanga amesema kuwa kilichowavuruga dhidi ya Simba ni bao la mapema ambalo chanzo chake hakikuwa cha uhakika.
Kwenye mchezo uliochezwa...
SIMBA SC:TUNAIVUA UBINGWA WYDAD
Simba SC: Tunaivua ubingwa Wydad, ndugu wa Mayele wampa dili Fei Toto ñdani ya Championi Jumatano
VIDEO:MWAKINYO KUZICHAPA NA TWAHA/AFUNGUKIA ISHU YA SUMU
MWAKINYO kuzichapa na Twaha afungukia ishu ya sumu
SIMBA YAKUNJA MKWANJA WA M-BET M 100
WAKATI wachezaji wa Simba wakitarajia kuanza mazoezi leo Aprili 18,2023 kwa ajili ya mechi ya kwanza ya robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika...
YANGA BADO WANA JAMBO LAO
ALLY Kamwe, Ofisa Habari wa Yanga amesema kuwa kupoteza mchezo wao dhidi ya Simba sio mwisho wa kazi maisha lazima yaendelee.
Kabla ya mchezo Aprili...
SIMBA WAANZA KUWAVUTIA KASI WAARABU
UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa kwa sasa umeanza maandalizi kuelekea mchezo wao wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Wydad ambao utachezwa Uwanja...
SHINDA TSH MILIONI 90,000,000/= ZA MERIDIANBET KILA SIKU
Siku zote kwenye Maisha unaambiwa usipende sana kuomba hela ya kula bali omba kazi, huwa iko hivi hata uchawa una mwisho wake kama huwezi...
MAYELE MTU WA KAZIKAZI, KAMBEBA SALIM
FISTON Mayele moja ya washambuliaji wenye akili na wanalijua lango dhidi ya Simba Aprili 16 anashikilia rekodi ya kupiga mashuti mengi yaliyolenga lango.
Ni ubora...
VIDEO:JEMBE AMVAA KOCHA YANGA/SIMBA KUBEBWA
LEGEND kwenye ulimwengu wa uandishi wa Habari za Michezo Bongo, Jembe amebainisha kuhusu mchez wa Kariakoo Dabi Simba 2-0 Yanga akizungumzia mabao pamoja na...
MAYELE AMPA MAMILIONI KIPA SIMBA
Mayele ampa mamilioni kipa Simba ñdani ya Spoti Xtra Jumanne
VIDEO:ULIONA ALICHOFANYA INONGA KWA YANGA UWANJA WA MKAPA?
ULIONA alichofanya Inonga alichofanya kwa Yanga Uwanja wa Mkapa?
VIDEO:JEMBE AMCHAMBUA MZAMIRU/ONYANGO BEKI MZURI
JEMBE amchambua Mzamiru Yassin, Onyango na ubora wake ndani ya uwanja
Nani Kulia au Kucheka Ligi ya Mabingwa? Chelsea vs Madrid, Bayern...
Wahenga waliwahi kusema Usiku wa deni hauchelewi, ni sasa kule kwenye Ligi ya Mabingwa Ulaya kitaeleweka nani mbambe dhidi ya mwenzake, raundi ya pili...