Saleh
CHELSEA WANALIPA MSHAHARA MKUBWA ILA TABU TUPU
CHELSEA wanapita kwenye kipindi kigumu huku wakiwa wanalipa mshahara mkubwa wachezaji wao.
Hadi sasa wameondolewa kwenye mashindano yote mawili ya vikombe vya nyumbani.
WANALIPA MISHAHARA MIKUBWA
Chelsea...
ZAWADI YA PASAKA KUTOLEWA LEO NAMNA HII
ZAWADI ya Pasaka kwa Wanaruagwa inatarajiwa kutolewa saa 3:00 usiku Uwanja wa Majaliwa.
Msako wa pointi tatu kati ya Namungo dhidi ya Mbeya City hatma...
VIDEO:MAKAPU AFUNGUKIA ISHU YA UGALI NA SUKARI FEI TOTO
MAKAPU afungukia ishu ya ugali na sukari Fei Toto
SIMBA NDANI YA MBEYA KUIKABILI IHEFU
KIKOSI cha Simba kimewasili Mbeya kwa ajili ya mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Ihefu.
Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa Uwanja wa Highland Estate Mbeya...
KMC KUPEWA LAKI TANO NA MERIDIANBET KWA KILA GOLI WATALOFUNGA LIGI...
Mdhamini Mkuu wa KMC FC inayoshiriki Ligi kuu ya NBC, Meridianbet Tanzania wameahidi kutoa Tsh 500,000/= kwa kila goli ambalo klabu hiyo itapata katika...
MUONEKANO WA UKURASA MBELE GAZETI LA SPOTI XTRA JUMAPILI
MUONEKANO wa ukurasa wa mbele gazeti la Spoti Xtra Jumapili
YANGA HAO NUSU FAINALI KOMBE LA AZAM SPORTS FEDERATION
YANGA imetinga hatua ya nusu fainali ya Azam Sports Federation kwa ushindi dhidi ya Geita Gold.
Dakika 90 zimekamilika ubao unasoma Yanga 1-0 Geita Gold...
UNITED YASEPA NA POINTI ZA EVERTON
MANCHESTER United wamekomba poiñti zote tatu dhidi ya Everton katika mchezo wa Ligi Kuu England.
Dakika ya 36 Scott MC Tominay alipachika bao la kwanza...
YANGA 0-0 GEITA GOLD
UBAO wa Uwanja wa Azam Complex mchezo wa hatua ya robo fainali Kombe la Azam Sports Federation ngoma ni nzito.
Hakuna mbabe ambaye amepata bao...
YANGA YAPIGA HESABU ZA KUFANYA KWELI KIMATAIFA
UONGOZI wa Yanga umebainisha kuwa kwenye hatua ya robo fainali watafanya kweli kama ilivyokuwa katika hatua ya makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika.
Imemaliza mwendo...
VIDEO:SIMBA KUPANGWA NA WAYDAD JEMBE AFICHUA
SIMBA kupangwa na Waydad jembe afichua namna ambavyo mpira wa Tanzania umekuwa na kuwapongeza viongozi wa Yanga na Simba
POLISI TANZANIA MAJANGA TUPU
HAKUKUWA na usalama mkubwa kwa Polisi Tanzania walipokuwa ndani ya Uwanja wa Liti baada ya kuacha poiti zote tatu.
Ni majanga matupu kwa Polisi Tanzania...
AZAM FC YASEPA NA POINTI ZA MTIBWA SUGAR
AZAM FC imeibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Mtibwa Sugar kwenye mchezo uliochezwa Uwanja wa Azam Complex.
Mabao ya Issah Ndala dakika ya...
SINGIDA BIG STARS WAO YANGA AMA GEITA HAINA TATIZO
BAADA ya kufanikiwa kukata tiketi ya kutinga hatua ya nusu fainali Azam Sports Federation Kocha Mkuu wa Singida Big Stars Hans Pluijm amesema kuwa...
KWA NYUNDO HIZI 5 RIVERS WAMELALA YOO
KWA nyundo hizi 5 Rivers wamelala Yoo, Mbrazil Simba awatega Waarabu ndani ya Championi Jumamosi
SIMBA YATINGA NUSU FAINALI KWA 5G
SIMBA inatinga hatua ya nusu fainali Azam Sports Federation kwa ushindi wa 5-1 Ihefu.
Ni mchezo ambao umechezwa Uwanja wa Azam Complex huku ukishuhudia matumizi...
SIMBA 4-0 IHEFU
UWANJA wa Azam Complex ubao unasoma Simba 4-0 Ihefu ikiwa ni mchezo wa hatua ya robo fainali Azam Sports Federation.
Mabao ya Simba ymepachikwa na...