Breaking: Yanga SC yatambulisha mshambuliaji mpya

RASMI mabingwa watetezi wa NBC Premier League wametambulisha mshambuliaji mpya ikiwa ni maandalizi kuelekea msimu wa 2026/27 unaotarajiwa kuwa na ushindani mkali. Nyota huyu anakuwa wa pili kutambulishwa kutoka kwa watoto wa Jangwani ambao wamebainisha kwamba wamekamilisha usajili wa nyota wapya zaidi ya wawili. Huyu anaitwa Hussen Mihambo aliyekuwa anakipiga ndani ya kikosi cha Mashujaa…

Read More

Simba SC yatambulisha wapya wawili

KUELEKEA msimu wa 2026/27 Simba SC imetambulisha nyota wapya wawili ambao imekamilisha usajili ikiwa ni maandalizi kwa mechi zijazo za ushindani. Simba SC itafungua mchezo wa kwanza wa NBC Premier League kwa kumenyana na Kagera Sugar , Agosti 16,2026 ikiwa ni mchezo wa kwanza kwenye msimu mpya. Wachezaji wote wawili ambao wametambulishwa wametoka timu za…

Read More

Monopoly Big Baller Yaibuka Mchezo Unaolipa Zaidi

Katika wiki mbili za mwanzo wa Julai, Meridianbet imeandika historia mpya kupitia mchezo wake wa kasino maarufu, Monopoly Big Baller. Washindi wa mchezo huu bora na wakisasa wamejikusanyia zaidi ya Tsh. 11,700,000/=, jambo linalothibitisha kuwa huu ni mchezo wa ushindi wa kweli. Kila siku, wachezaji wanaoshiriki mchezo huu wanajikuta wakipokea malipo makubwa, wakishuhudia akaunti zao…

Read More