Waziri wa Habari Amteua Haji Manara Kuwa Msemaji Wa Timu Za Taifa
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Makonda amemteua Haji Manara kuwa msemaji wa timu zote za Taifa za Tanzania zinazoshiriki mpira wa miguu. Makonda ametangaza uteuzi huo leo Mei 28, 2026 wakati akizungumza na waandishi wa habari katika Viwanja vya Bunge jijini Dodoma. Kwa mujibu wa Waziri huyo, Haji Manara atafanya kazi chini…