>

ARSENAL YAIBAMIZA LIVERPOOL BAO 3-1

Majogoo wamedhalilika ugenini dhidi ya Washika Mitutu kufuatia kipigo cha 3-1 katika dimba la Emirates. FT: Arsenal 3-1 Liverpool 14’— Saka ⚽ 67’— Martinelli ⚽ 45+3’— Magalhães (og) ⚽ 88’ Konate 🟥 90+2’ — Trossard ⚽ Arsenal imesogea mpaka alama mbili nyuma ya kinara Liverpool kwenye msimamo wa Ligi Kuu England alama 49 baada ya…

Read More

YANGA KUIKABILI DODOMA JIJI

 BAADA ya kuambulia sare mchezo wao wa kwanza ndani ya Februari 2 2024 mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Bara Yanga kesho wanashuka kwa mara nyingine tena uwanjani. Kesho Yanga itakuwa na kibarua cha kusaka pointi tatu dhidi ya Dodoma Jiji mchezo unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Azam Complex. Yanga ilikomba pointi moja ugenini Uwanja wa Kaitaba…

Read More

JKT QUEENS YAKUTANA NA RUNGU HILI

MABINGWA watetezi Ligi Kuu ya Wanawake (WPL), JKT Queens wamekumbana na rungu la faini ya  milioni 3 pamoja kupokwa pointi tano kutokana na kitendo cha kushindwa kutokea kwenye Uwanja wa Azam Complex, kuvaana na Simba katika mfululizo wa mechi za ligi hiyo. Mechi hiyo hiyo ilikuwa ipigwe Januari 9, mwaka lakini JKT haikwenda Chamazi, kwa…

Read More

MALI NDO BASI TENA AFCON

LICHA ya kuanza kutangulia kufunga bado hawajatusua kutinga hatua ya nusu fainali hivyo Mali kwa 2023 kutwaa taji hilo ndo basi tena mpaka wakati ujao. Mali ilipoteza kwenye mchezo wa robo fainali dhidi ya timu ya taifa ya Ivory Coast ambayo imetinga hatua ya nusu fainali Kombe la Mataifa ya Afrika (Afcon 2023) baada ya…

Read More

Tusua Mapene na Meridianbet Jumapili Hii

Ndugu mteja kama jana yako ilikuwa mbaya na hukuweza kuchukua mpunga ndani ya meridianbet, basi mimi nakwambia leo hii ndiyo siku nzuri kwa wewe kujinyakulia mkwanja kwa kubeti mechi zako za uhakika. Pale EPL katika dimba la Vitallity AFC Bournemouth watakiwasha dhidi ya Nottingham Forest . Mechi ya kwanza kukutana, mwenyeji aliondoka na pointi 3,…

Read More

MASHUJAA WAPOTEZA MBELE YA SIMBA

WAKIWA na kikosi cha kazi kilichotoka kupata ushindi wa mabao 4-0 dhidi ya Tembo FC, wameshuhudia ubao ukisoma Mashujaa 0-1 Simba. Bao pekee la ushindi kwa Simba limefungwa na Said Ntibanzokiza ambaye alipachika bao hilo kwa mkwaju wa penalti. Kwenye mchezo wa leo washambuliaji wa Simba walikosa umakini kwenye mchezo wa leo kufanya mashambulizi ndani…

Read More

Beti na Meridianbet Mechi za Leo Hii

Ndugu mteja usikubali kupitw ana ODDS za kijanja zinazotolewa hapa meridianbet sasa weka mkeka wako sasa na uchague machaguo uyapendayo uwe na nafasi ya kukusanya maokoto ya maana. LALIGA kutakuwa na mechi kibao hii kuanzia kwa mwenyeji Valencia ambaye yupo nafasi ya 8 atakipiga dhidi ya UD Almeria ambaye yupo nafasi ya 20 katika msimamo…

Read More

COSMOPOLITAN WAZITAKA POINTI TATU ZA PAN AFRICANS

UONGOZI wa Cosmopolitan umebainisha kuwa mpango mkubwa ni kupata pointi tatu muhimu kwenye mchezo wa Championship dhidi ya wapinzani wao Pan Africans wakiwa ugenini. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa leo Februari 3 Uwanja wa Mabatini, Pwani kwa wababe hawa wawili kusaka pointi nani ya dakika 90. Ikumbukwe kwamba Ofisa Habari wa Cosmopolitan, Leen Essau aliibuka ndani…

Read More

CHEKI MSAKO ULIVYOKUWA NDANI YA DAKIKA 180

NI msako wa bingwa mpya wa Azam Sports Federation unaendelea ambapo katika raundi ya pili wababe walikuwa kazini kila timu kusaka ushindi. Kagera Sugar waliibuka na ushindi wa mabao 4-0 dhidi ya Dar City ambao wameumaliza mwendo. Katika ardhi ya Dar vigogo wawili walikuwa kazini wakiandika rekodi namna hii:- Hat trick hii hapa Mwamba Clement…

Read More

HIVI HAPA VIGONGO VYA SIMBA NDANI YA FEBRUARI

NDANI ya Februari kikosi cha Simba kinachonolewa na Kocha Mkuu, Abdelhak Benchikha kina kazi kubwa ya kusaka pointi tatu ambazo wapinzani wao wanazihitaji pia. Kigongo cha kwanza kinatarajiwa kuwa leo Februari 3 ugenini mwisho wa reli Kigoma kwa kupambana dhidi ya wenyeji wao Mashujaa Uwanja wa Lake Tanganyika. Katika mchezo wa leo Simba imemuongeza kiungo…

Read More

KAGERA SUGAR KUMBE WALINYIMWA BAO

MCHEZO wa kwanza wa Ligi Kuu Bara kwa Februari 2 2023 ilikuwa Uwanja wa Kaitaba baada ya dakika 90 ubao ulisoma Kagera Sugar 0-0 Yanga. Mchambuzi wa masuala ya michezo akiegemea zaidi kwenye mifumo Sisintinho Martin amebainisha kuhusu mbinu na namna ambavyo Kagera Sugar walifunga bao ambalo mwamuzi alibainisha kuwa ilikuwa ni mtego wa kuotea….

Read More

RAIS MSTAAFU MWINYI ALAZWA KWA MARADHI YA KIFUA

Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili wa Tanzania, Mzee Ali Hassan Mwinyi amewekwa chini ya uangalizi wa karibu wa madaktari baada ya kupelekwa Hospitali kutokana na kuugua maradhi ya kifua Taarifa ya Msemaji wa Familia, Abdullah Ali Mwinyi imeeleza kuwa kutokana na ushauri wa madaktari wake, familia imeona ni vyema apate faragha akiwa anapatiwa matibabu…

Read More